Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
- Thread starter
- #21
Tatizo ni kwamba anaweza kubadilika baada ya miaka michache!Zaidi ya hapo hamna ubaya wowote ili mradi usimchezee mtoto wa watu!Msubirie kama bado nafsi yako itakua imeridhika nae hapo baadae na mwenyewe akikubali fanya kweli!
Hapo ndo mimi panaponitatiza..naona kama ntakuw nimepoteza muda wangu bure...daah!