kha! kazi kweli kweliKuna tetesi mtangazaji maarufu wa TZ ambae kwa sasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili ameolewa lakini mumewe jina limehifadhiwa, tetesi ni yule jamaa yake wa siku nyingi na pia ni x mtangazaji wa redio one; je wadau wa UK mnamfahamu mumewe???
nina ombi moja kwako mod, anagalia sana hawa wanaojiunga sasa hv,
maana naona thread za kipuuzi zimezid, mara saluni za kunyoa nywele, mara kaolewa na nani, nk,
haya wapeleke kwenye blog zingine na mara nyingine tukiona thread za kipuuzi kama hii hatua kali zichukulie
hapa ni nyumba kwa ma great thinkers sio kuleta umbea hapa
mtu mzima unaandika upuuzi kama huu!!!??
kwiiii kwi kwi,inabidi irudi tena upesi maana naona watu wote wakule wamehamia huku, na wanataka kuendeleza mambo yakule hapa.Maana siku hizi utasikia "Ray c kanenepa" mara "ooh ritha anaumwa nini "sijui nini yaani wanaleta mambo ya kwa mzee nanhii hapa.
Kuna tetesi mtangazaji maarufu wa TZ ambae kwa sasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili ameolewa lakini mumewe jina limehifadhiwa, tetesi ni yule jamaa yake wa siku nyingi na pia ni x mtangazaji wa redio one; je wadau wa UK mnamfahamu mumewe???
Re: Flora Nducha ameolewa na nani?
--------------------------------------------------------------------------------
Upuuzi tupu unataka kujua mume wake ili iweje?.
KINACHOKUUMA YEYE KUJUA NINI
MNASHARE???