Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
nina ombi moja kwako mod, anagalia sana hawa wanaojiunga sasa hv,
maana naona thread za kipuuzi zimezid, mara saluni za kunyoa nywele, mara kaolewa na nani, nk,
haya wapeleke kwenye blog zingine na mara nyingine tukiona thread za kipuuzi kama hii hatua kali zichukulie
hapa ni nyumba kwa ma great thinkers sio kuleta umbea hapa
mtu mzima unaandika upuuzi kama huu!!!??
maana naona thread za kipuuzi zimezid, mara saluni za kunyoa nywele, mara kaolewa na nani, nk,
haya wapeleke kwenye blog zingine na mara nyingine tukiona thread za kipuuzi kama hii hatua kali zichukulie
hapa ni nyumba kwa ma great thinkers sio kuleta umbea hapa
mtu mzima unaandika upuuzi kama huu!!!??