Fikra za Mwalimu: Hizi hapa.. mzikubali au mzipinge!

MWK: Kitu ambacho umeki-miss hapo ni kwamba huko kote ulipokutaja hawakubadilisha kiongozi tu, walibadilisha vyama. Kwa maana ingine ni kwamba walibadilisha mfumo, yaani walibadilisha mvinyo na chupa. Sisi tumekuwa tukibadilisha chupa pekee na kuendelea kunywa mataputapu hayohayo. Ndio maana nami nasema hapa kila siku kwamba kosa tunaloendelea kufanya watanzania wenzangu ni kufikiri kubadilisha watu katika CCM bila kuitoa CCM yenyewe itatusaidia. Kwa hiyo nafikiri unaweza kupata picha kwa nini sisi tumebaki hivyohivyo hata miaka 23 baada ya mwalimu kuondoka. Kwa maneno mengine sisi hatujawahi kufanya mabadiliko. Labda itabidi "tumkope" Barack Obama aja atusaidie kueleza maana ya mabadiliko.

Kitila,

Hapa nakubaliana nawe moja kwa moja. Kitu kikubwa hapa ni kubadili chama. CCM ikitoka madarakani, haya yote yatakuwa na mwisho (angalia mfano wangu wa Kenya na Zambia).

Tatizo ni kuwa kuna baadhi ya wanaccm wanadhani kuwa mimi au wapinzani tutafaidika kwa kumtetea Nyerere. Kati ya watu ambao wangependa Nyerere afutwe kwenye historia ya Tanzania ni mimi. Lakini, inakuja reality kuwa, the guy is dead, hakuna chochote anachofanya leo ambacho kinaathiri maisha yangu au ya watoto mamilioni wanaosuffer kule Tanzania.

Kila mara ninakuja kwenye rescue ya Nyerere kwa sababu watu wengi hapa (ukianza na yule mtetezi mkuu wa Lowasa - Mchambuzi) wanataka kushift blames kwa Nyerere. Wao wanataka watu wakubali kuwa matatizo yetu ya leo Tanzania tunayastahili kwa sababu ni Nyerere ndiye aliyetuletea.

Watu makini wanaweza kubadili nchi yao hata kama kiongozi wa nchi yao amefanya mabaya kiasi gani (chunguza post Reagan, Carter, and Thatcher admin). Katika hili, sikubaliani kabisa na watu wanaotaka niamini kuwa matatizo yangu ya leo ni kwa sababu ya Nyerere. Katika hili nitakataa hadi mwisho.

Ninaamini kabisa kuwa Tanzania ingeweza kuwa imebadilika miaka 20 tangu Nyerere atoke madarakani na karibu 10 tangu kifo chake. Na pia naamini kuwa (ukichukulia na walichofanya kina Mkapa na Kikwete), Nyerere alikuwa na best intention kwa watanzania ila wazazi wangu na wengine wote waliokuwa hai miaka hiyo hawakufanya pia part yao.

Thanks!
 
Mimi hii ya kusema fikra za mabadiliko Afrika kuwa ni zake naikataa. Inatufanya kama vile wote tulikuwa hatufikiri na hakuna mtu aliyekuwa anafikiria mabadiliko kama kama alivyokuwa anayafikiria yeye. Re-phrase halafu nitakupa asante!


Nyani, kufikiria peke yake haitoshi, weka fikra zao hadharani au nioneshe mtu mwingine aliyeziarticulate fikra zake kuhusu mabadiliko ya Afrika kama alivyofanya Mwalimu. Wengi wanafikiria kufanya mambo mengi sana lakini yule anayewahi ndiye anayepata patent! Sasa huwezi kwenda ofisi ya Patent na kusema "na mimi nilifikiria hivyo"...
 
Ndio maana nami nasema hapa kila siku kwamba kosa tunaloendelea kufanya watanzania wenzangu ni kufikiri kubadilisha watu katika CCM bila kuitoa CCM yenyewe itatusaidia. Kwa hiyo nafikiri unaweza kupata picha kwa nini sisi tumebaki hivyohivyo hata miaka 23 baada ya mwalimu kuondoka. Kwa maneno mengine sisi hatujawahi kufanya mabadiliko. Labda itabidi "tumkope" Barack Obama aja atusaidie kueleza maana ya mabadiliko.

Mzee kuiondoa CCM peke yake haitoshi, ni lazima uiondoe CCM ukiwa na msingi na fikra tofauti kabisa ambazo watu watazikubali. Fikra hutangulia vitendo. Watu hawajaona umuhimu wa kuiondoa CCM madarakani kwa sababu kifikra wako juu sana ya chama chochote cha kisiasa nchini na ni jukumu la vyama hivyo kufanya fikra zao zijulikane na kwa kiasi gani ni tofauti na fikra zilizoko kwenye CCM.

Ni fikra gani wale wanaotaka kuiondoa CCM wanazo kiasi cha kumshawishi mtu wa kawaida kutoichagua CCM? Ndio maana nimeyaita haya ni mapambano kwa fikra kwa sababu mabadiliko ya kweli si kuondoa chama madarakani lakini kubadilisha fikra za wananchi ili waweza kuona sababu ya kukiondoa chama fulani madarakani.

Uking'ang'ania watu waiondoee CCM madarakani watakuuliza "ili kiwe nini". Haitoshi kuleta watu wapya wasio na fikra zozote ambazo zinaweza kuliongoza Taifa.

Sasa unasema mnataka kubadilisha mvinyo na chupa. Lakini inavyoonekana ni kuwa mnataka kubadilisha chupa na mvinyo lakini zitakapoletwa hizo chupa mpya ndani yake hakuna mvinyo ni togwa! Wananchi wanataka mvinyo, na kama ni togwa basi waambiwe kwanini waachane na mvinyo na kwanini togwa ni bora zaidi. Kuwaambia "badilisheni chupa na mvinyo, na sisi tutawaletea chupa na kinywani kingine" haitoshi.

Fikra ambazo unafikiri zinaweza kuliongoza Taifa hili ni zipi. Mimi naonesha fikra ambazo ni timeless na ambazo hazijali nani yuko madarakani. Hizi fikra ni fikra ambazo zinashawishi akili na zinakubalika. Kama Nyerere na wengine walishindwa kuzitekeleza basi sisi wengine tuziangalie, tuzikosoe na kuziboresha ili ziwe kiongozi cha mabadiliko tunayoyataka.
 
Kitila,

Hapa nakubaliana nawe moja kwa moja. Kitu kikubwa hapa ni kubadili chama. CCM ikitoka madarakani, haya yote yatakuwa na mwisho (angalia mfano wangu wa Kenya na Zambia).

Tatizo ni kuwa kuna baadhi ya wanaccm wanadhani kuwa mimi au wapinzani tutafaidika kwa kumtetea Nyerere. Kati ya watu ambao wangependa Nyerere afutwe kwenye historia ya Tanzania ni mimi. Lakini, inakuja reality kuwa, the guy is dead, hakuna chochote anachofanya leo ambacho kinaathiri maisha yangu au ya watoto mamilioni wanaosuffer kule Tanzania.

Kila mara ninakuja kwenye rescue ya Nyerere kwa sababu watu wengi hapa (ukianza na yule mtetezi mkuu wa Lowasa - Mchambuzi) wanataka kushift blames kwa Nyerere. Wao wanataka watu wakubali kuwa matatizo yetu ya leo Tanzania tunayastahili kwa sababu ni Nyerere ndiye aliyetuletea.

Watu makini wanaweza kubadili nchi yao hata kama kiongozi wa nchi yao amefanya mabaya kiasi gani (chunguza post Reagan, Carter, and Thatcher admin). Katika hili, sikubaliani kabisa na watu wanaotaka niamini kuwa matatizo yangu ya leo ni kwa sababu ya Nyerere. Katika hili nitakataa hadi mwisho.

Ninaamini kabisa kuwa Tanzania ingeweza kuwa imebadilika miaka 20 tangu Nyerere atoke madarakani na karibu 10 tangu kifo chake. Na pia naamini kuwa (ukichukulia na walichofanya kina Mkapa na Kikwete), Nyerere alikuwa na best intention kwa watanzania ila wazazi wangu na wengine wote waliokuwa hai miaka hiyo hawakufanya pia part yao.

Thanks!


Aunt:

Nyerere alichemsha BIG TIME. Hiyo ya kusema kuwa wazazi wetu hawakuplay part yao ni uzushi.

Nasema hivi kuna wanashabiki wengi wa Mwalimu Nyerere. Bila kulazimisha wengine waanze na waone ugumu wa falsafa yenyewe.

Na kwa kumalizia. Katika hotuba yake moja Nyerere alieleza jinsi alivyopata mali zake. Alisema nyumba ya Msasani alikopa katika benki alizoanzisha (NBC). Na katika kipindi chake cha kufanya kazi alishindwa kumaliza mkopo aliochukua. Na baadaye alihamua kwenda NBC kurudisha nyumba. NBC kwa kuona aibu walifuta mkopo wake.

Swali langu kama rais wa nchi anashindwa kutumia benki aliyoanzisha yeye mwenyewe kuleta manufanaa, je wazazi wetu waliotegemea kima cha chini au mapato ya msimu kwa kuuza mazao wangeweza wapi?

Katika hotuba hiyo alitaka kuonyesha alivyo masikini. Kwa upande wangu alionyesha jinsi alivyo-mtopia.
 
Na kwa kumalizia. Katika hotuba yake moja Nyerere alieleza jinsi alivyopata mali zake. Alisema nyumba ya Msasani alikopa katika benki alizoanzisha (NBC). Na katika kipindi chake cha kufanya kazi alishindwa kumaliza mkopo aliochukua. Na baadaye alihamua kwenda NBC kurudisha nyumba. NBC kwa kuona aibu walifuta mkopo wake.

Swali langu kama rais wa nchi anashindwa kutumia benki aliyoanzisha yeye mwenyewe kuleta manufanaa, je wazazi wetu waliotegemea kima cha chini au mapato ya msimu kwa kuuza mazao wangeweza wapi?

Katika hotuba hiyo alitaka kuonyesha alivyo masikini. Kwa upande wangu alionyesha jinsi alivyo-mtopia.

duh.. sasa kama angekuwa Mkapa kwenye same situation unafikiri angefanya nini?
 
Mwajj:

Kwani hii mada ni ya kulinganisha marais au fikra za Nyerere?

that is exactly my point lakini naona wenzangu inakuwa ngumu kueleweka. Ni wewe umetoa mfano wa Mkapa na nikakurudishia, so tuendelee basi tutafakari fikra za Mwalimu. Unaonaje kuhusu substance ya alichosema kuhusu change in Africa? Kuna makosa gani katika argument yake?

I have to admit though you trapped me and you got me good.. kwikwikwi.. next time I'll cry entrapment or something to that effect..
 
But the bottomline ni kwamba Nyerere is well defined,what about others?

Mkuu wangu Ibambasi,

Heshima mbele, labda hili swali tukuulize wewe, maana Mwinyi, Mkapa, na Muungwana, wote walipewa pasi na Mwalimu, kuwa wanafaaa meaning kwamba wanakuja kuendeleza mawazo yake, sasa imekuwaje? Hili ni swali lako wewe mkuu sio sisi tunaotaka mabadiliko ya kweli na kuachana na hadithi za kusaidikika!
 
Communism - an economic system where resources are owned by the state and most decisions are made by the state. Individuals make limited choices thus economic questions are answered by government planning.

Eti tuanze kuyachapisha haya maandishi na kuyasambaza kwa wingi, maana tukiyarudia haya basi tutafanikiwa?
 
Najaribu kuongoza mjadala on an intellectual level ya kuangalia alichosema Nyerere na idea zake kuzichambua kwa kuziangalia idea hizo na si kingine. Philosophically, kujaribu kuona the validity of their assumptions and the plausability of their contents.

Mkuu MMJ,

Heshima mbele, hapa ulichofanya ni kuweka mkwara na kuwatisha watu hapa waogope, wakati ukweli ni kwamba kwenye maneno yako yote ya uchambuzi hakuna realism hata kidogo, haya ni maneno ya kuandika karatasi za Masters na PHD, lakini sio ya kumsaidia wananchi yoyote mpiga kura wa kijijini kuchagua siasa ya nchi yake, no wonder tuliburuzwa sana tena kwa muda mrefu sana, maana hebu niambie RC wa Iringa then Kissoki, aliweza kuelewa haya?

Ninarudia tena kuwa mjadala huu wa intellectualism kama mwenyewe ulivyouweka ni njia tu ya kuwatishia watu kuwa una hoja sana, lakini ukweli ni kuwa hizi ni hadithi tu kama za abunuwasi, maana kwangu mimi ninaaamini kuwa kuwa na mawazo hata yawe mazuri kiasi gani, kama wewe mwenyewe huwezi kuyatumia kwa faida yako na kwa faida ya familia yako, licha ya taifa, ni bora kutokuwa nayo kabisa!

Mwalimu, kuwa kwake na mawazo yote unayoyasema ya intellectualism kama unavyoyaita, ilikuwa ni kazi ya bure!
 
that is exactly my point lakini naona wenzangu inakuwa ngumu kueleweka. Ni wewe umetoa mfano wa Mkapa na nikakurudishia, so tuendelee basi tutafakari fikra za Mwalimu. Unaonaje kuhusu substance ya alichosema kuhusu change in Africa? Kuna makosa gani katika argument yake?

I have to admit though you trapped me and you got me good.. kwikwikwi.. next time I'll cry entrapment or something to that effect..

Kwikwikwi

No spin zone hapa. Katika posti zangu sijaongea ya Mkapa. Hila Mkapa atakuwa coward kama ninayosikia ya kujipendelea ni ya kweli.

Kuhusu Afrika inabidi turudi katika drawing board. Maendeleo ya Tanzania yatashawishi nchi zingine kufanya vizuri. Na longolongo za Tanzania hazitasaidia nchi zingine iwapo wenyewe tutaendelea kuukalia uchumi.

Hivyo Nyerere alipoteza muda kwa maneno mengi na alichotakiwa ni kufanya kazi tu na wengine wangeiga.
 
Aunt:

Nyerere alichemsha BIG TIME. Hiyo ya kusema kuwa wazazi wetu hawakuplay part yao ni uzushi.

Nasema hivi kuna wanashabiki wengi wa Mwalimu Nyerere. Bila kulazimisha wengine waanze na waone ugumu wa falsafa yenyewe.

Na kwa kumalizia. Katika hotuba yake moja Nyerere alieleza jinsi alivyopata mali zake. Alisema nyumba ya Msasani alikopa katika benki alizoanzisha (NBC). Na katika kipindi chake cha kufanya kazi alishindwa kumaliza mkopo aliochukua. Na baadaye alihamua kwenda NBC kurudisha nyumba. NBC kwa kuona aibu walifuta mkopo wake.

Swali langu kama rais wa nchi anashindwa kutumia benki aliyoanzisha yeye mwenyewe kuleta manufanaa, je wazazi wetu waliotegemea kima cha chini au mapato ya msimu kwa kuuza mazao wangeweza wapi?

Katika hotuba hiyo alitaka kuonyesha alivyo masikini. Kwa upande wangu alionyesha jinsi alivyo-mtopia.

Na hili linausiana vipi na sera au uongozi wa Nyerere?
 
Kwikwikwi

No spin zone hapa. Katika posti zangu sijaongea ya Mkapa. Hila Mkapa atakuwa coward kama ninayosikia ya kujipendelea ni ya kweli.

Kuhusu Afrika inabidi turudi katika drawing board. Maendeleo ya Tanzania yatashawishi nchi zingine kufanya vizuri. Na longolongo za Tanzania hazitasaidia nchi zingine iwapo wenyewe tutaendelea kuukalia uchumi.

Hivyo Nyerere alipoteza muda kwa maneno mengi na alichotakiwa ni kufanya kazi tu na wengine wangeiga.

Natumaini kuwa drawing board haumaanishi tuanze kutumia kila dakika tunayoweza kulaumu viongozi waliopita na ambao wengi wao sasa ni marehemu au sio?
 
Nyani, kufikiria peke yake haitoshi, weka fikra zao hadharani au nioneshe mtu mwingine aliyeziarticulate fikra zake kuhusu mabadiliko ya Afrika kama alivyofanya Mwalimu. Wengi wanafikiria kufanya mambo mengi sana lakini yule anayewahi ndiye anayepata patent! Sasa huwezi kwenda ofisi ya Patent na kusema "na mimi nilifikiria hivyo"...

Kumbe ujanja kuwahi..?
 
Na hili linausiana vipi na sera au uongozi wa Nyerere?


Mwafrika Ndivyo Ulivyo:

Inabidi kuunganisha dots wakati mwingine. Nadhani kama ungekuwa unajua mabenki yalivyokuwa katika sera za Nyerere za ujamaa basi hili swali usingeuliza.
 
that is exactly my point lakini naona wenzangu inakuwa ngumu kueleweka. Ni wewe umetoa mfano wa Mkapa na nikakurudishia, so tuendelee basi tutafakari fikra za Mwalimu. Unaonaje kuhusu substance ya alichosema kuhusu change in Africa? Kuna makosa gani katika argument yake?

I have to admit though you trapped me and you got me good.. kwikwikwi.. next time I'll cry entrapment or something to that effect..

Lete argument nyingine tuijadili ubora na upungufu wake. Hii ya change ni simple common sense ambayo mtu hawezi kuchukua ujiko eti yeye ndiye aliyekuwa wa kwanza kuiandika wakati wote tunajua kuwa mabadilio yoyote yale yanaanzia na wewe mwenyewe.
 
Mwafrika Ndivyo Ulivyo:

Inabidi kuunganisha dots wakati mwingine. Nadhani kama ungekuwa unajua mabenki yalivyokuwa katika sera za Nyerere za ujamaa basi hili swali usingeuliza.

Je hizi sera kwa sasa zimebadilika au bado zipo vile vile?
 
Natumaini kuwa drawing board haumaanishi tuanze kutumia kila dakika tunayoweza kulaumu viongozi waliopita na ambao wengi wao sasa ni marehemu au sio?


Cha kushangaza watu wengi wanaomlaumu Nyerere walifanya vizuri Nyerere akiwa madarakani.

Unafikiri kuna mwanachama wa CCM anayelaumu Nyerere?

Drawing board ni ku-redefine priorities zetu na kuangalia ni kitu gani kinawezekana na kitu gani hakiwezekani.
 
Cha kushangaza watu wengi wanaomlaumu Nyerere walifanya vizuri Nyerere akiwa madarakani.

Unafikiri kuna mwanachama wa CCM anayelaumu Nyerere?

Drawing board ni ku-redefine priorities zetu na kuangalia ni kitu gani kinawezekana na kitu gani hakiwezekani.

Ninasubiri bado u-redefine hizo priorities zetu hapa ili kuona kitu gani kinawezekana na kipi hakiwezekani Mkuu. Nasubiri pia kuona namna hii itakuwa tofauti na kile ambacho kimekuwa kwa muda sasa kinaendelea Tanzania kuanzia sera za IMF zikubaliwe rasmi miaka 24 iliyopita.
 
Ninasubiri bado u-redefine hizo priorities zetu hapa ili kuona kitu gani kinawezekana na kipi hakiwezekani Mkuu. Nasubiri pia kuona namna hii itakuwa tofauti na kile ambacho kimekuwa kwa muda sasa kinaendelea Tanzania kuanzia sera za IMF zikubaliwe rasmi miaka 24 iliyopita.

I said no spin zone. Mwanakijiji aliniuliza kuhusu Africa. Na nikasema maoni yangu kuwa tuache longolongo.

Na kuhusu IMF, IMF imesaidia. Bila IMF tungekuwa tunavaa viroba.
 
Back
Top Bottom