Wakuu hapa nashindwa kuchangia kwani sielewi kinachoendelea kabisa...
Fikra za mwalimu na kufanikiwa kwake kunahusiana vipi lakini?... mbona hata Yesu hakufanikiwa akiwa hai leo tuna wakristu mabillioni...ambao kwa matendo yao naweza sema ni asilimia chini ya 20 wanaofuata Ukristu alofundisha Yesu. Je, tuseme kuwa mafundisho ya Yesu hayana maana ni upuuzi mtupu kutokana na results zetu sisi tunaokataa kuabudu kwa vitendo!..
Jamani hata Nyerere ktk mifano yake midogo aliweza toa mfano wa kuhesabu wakristu wanaoingia kanisani ili ku judge mafanikio ya dini ya Kikristu. Na hata kama hesabu ya wakristu ama waislaam jina iwe kwa mabillioni lakini kama sote hatufuati hizo dini kwa matendo yetu haiwezekani kuwa hao viongozi wetu walikuwa na fikra mbovu, zisizofaa kuwa biblia ama Kuran.
Yawezekana sisi wenyewe ndio tumepotea na ktk fikra zetu mbovu ndio maana tunaona maandishi ya Biblia na Kuran ni mawazo ya kizamani hasa kama tunataka kuupigia debe ufuska na ujunya..
Mwalimu aliupiga vita Ubepari kwa sababu za msingi. Kwanza nchi yetu kwa asilimia zaidi ya 99.9 tulikuwa maskini, sasa huyo bepari angetokea wapi ikiwa nchi nzima haina mwekeshaji wa ndani ambaye angeweza endesha hata tawi moja la Benki...I mean ebu nambieni nyie huo Ubepari ungeanza vipi kama sio kwa njia hizi hizi tunazoziona leo hii viongozi wakivamia mali za Umma kama vile ni mirathi yao halali ili wapate kuwa Mabepari wa kesho. Is this real Capitalism, viongozi kuiba mali zenu wakitumia wadhifa wao! ebu nipeni darasa wakuu inawezekana mimi ndio nipo kizani... maanake nasikia siku hizi Ujanja ni KUPATA sio KUWAHI tena.
Mnazungumzia maswala ya Benki ktk Ujamaa kama vile vitu hivi vimekuja toka mbinguni. Hiyo CRDB, NMB zingeweza vipi kuwepo kama sio nguvu ya serikali mwanzoni kuzipa Boost hadi zilipoweza kusimama... leo mnakuja jaribu kufananisha uendeshaji wa Benki hizo na leo wakati mnafahamu kabisa kuwa bila kuanza kutambaa na malezi ya mama (serikali) kwa benki hizo leo hii zisingeweza simama wima, sasa baada ya kujua kutembea na suruali zetu za Kata Kundu tunalinga na kumsahau mama na malezi yake..Na ajabu kinachozungumziwa hapa ni kazi ya kutambaa na kutembea ipi bora!..
Jamani jamani Fikra ni pamoja vision za mwalimu ambazo kama alivyosema MLK kwamba anaweza kutokuwa nasi kufikia hiyo promise land lakini tutafika!..Hakuhitaji yeye kuwafikisha Waamerika weusi ktk hiyo promise land lakini fikra zake ndizo zinatumika hata kama iwe kwa mbinu tofauti lakini malengo yao yanajulikana. Na ukitazama jinsi MLK alivyokuwa akipigania Uhuru wa mtu mweusi Marekani miaka hiyo huwezi kabisa kuitumia leo (maandamano na migomo) kwani sasa hivi hao Waamerika weusi wapo hatua nyingine kabisa ya ubaguzi hivyo mapambano yake pia yamebadilika..
Leo hii baada ya kifo cha siasa za West na East, tupo ktk hatua tofauti kabisa kama vile South walivyokuwa wakimwona Kaburu kabla ya Uhuru wao. Hatuwezi sema fikra za Steve Biko na kina Oliver Tambo hazina mpango kwa sababu tu walisema - Utawala wa Kaburu utasokomezwa baharini!..Fikra za mwalimu tuzienzi kwa kukumbuka safari alotuambia tuifanye kufikia maendeleo yetu sote bikla kumwacha mtu nyuma. Sasa iwe Ujamaa, Ubepari na lugha yoyote ile mnayotaka kuitumia lakini muhimu ni kuelewa kuwa tulikuwa na malengo. Malengo hayo yatafikiwa ikiwa tu tutazingatia mambo muhimu hata kama mbinu zetu za kufika huko zitabadilika. The vision remains!
Wakuu nipeni point nzito nipate kuelewa kinachoendela maanake naona vidole tuuu zuri silioni upande wa pili iwe fikra wala matendo.
Fikra za mwalimu na kufanikiwa kwake kunahusiana vipi lakini?... mbona hata Yesu hakufanikiwa akiwa hai leo tuna wakristu mabillioni...ambao kwa matendo yao naweza sema ni asilimia chini ya 20 wanaofuata Ukristu alofundisha Yesu. Je, tuseme kuwa mafundisho ya Yesu hayana maana ni upuuzi mtupu kutokana na results zetu sisi tunaokataa kuabudu kwa vitendo!..
Jamani hata Nyerere ktk mifano yake midogo aliweza toa mfano wa kuhesabu wakristu wanaoingia kanisani ili ku judge mafanikio ya dini ya Kikristu. Na hata kama hesabu ya wakristu ama waislaam jina iwe kwa mabillioni lakini kama sote hatufuati hizo dini kwa matendo yetu haiwezekani kuwa hao viongozi wetu walikuwa na fikra mbovu, zisizofaa kuwa biblia ama Kuran.
Yawezekana sisi wenyewe ndio tumepotea na ktk fikra zetu mbovu ndio maana tunaona maandishi ya Biblia na Kuran ni mawazo ya kizamani hasa kama tunataka kuupigia debe ufuska na ujunya..
Mwalimu aliupiga vita Ubepari kwa sababu za msingi. Kwanza nchi yetu kwa asilimia zaidi ya 99.9 tulikuwa maskini, sasa huyo bepari angetokea wapi ikiwa nchi nzima haina mwekeshaji wa ndani ambaye angeweza endesha hata tawi moja la Benki...I mean ebu nambieni nyie huo Ubepari ungeanza vipi kama sio kwa njia hizi hizi tunazoziona leo hii viongozi wakivamia mali za Umma kama vile ni mirathi yao halali ili wapate kuwa Mabepari wa kesho. Is this real Capitalism, viongozi kuiba mali zenu wakitumia wadhifa wao! ebu nipeni darasa wakuu inawezekana mimi ndio nipo kizani... maanake nasikia siku hizi Ujanja ni KUPATA sio KUWAHI tena.
Mnazungumzia maswala ya Benki ktk Ujamaa kama vile vitu hivi vimekuja toka mbinguni. Hiyo CRDB, NMB zingeweza vipi kuwepo kama sio nguvu ya serikali mwanzoni kuzipa Boost hadi zilipoweza kusimama... leo mnakuja jaribu kufananisha uendeshaji wa Benki hizo na leo wakati mnafahamu kabisa kuwa bila kuanza kutambaa na malezi ya mama (serikali) kwa benki hizo leo hii zisingeweza simama wima, sasa baada ya kujua kutembea na suruali zetu za Kata Kundu tunalinga na kumsahau mama na malezi yake..Na ajabu kinachozungumziwa hapa ni kazi ya kutambaa na kutembea ipi bora!..
Jamani jamani Fikra ni pamoja vision za mwalimu ambazo kama alivyosema MLK kwamba anaweza kutokuwa nasi kufikia hiyo promise land lakini tutafika!..Hakuhitaji yeye kuwafikisha Waamerika weusi ktk hiyo promise land lakini fikra zake ndizo zinatumika hata kama iwe kwa mbinu tofauti lakini malengo yao yanajulikana. Na ukitazama jinsi MLK alivyokuwa akipigania Uhuru wa mtu mweusi Marekani miaka hiyo huwezi kabisa kuitumia leo (maandamano na migomo) kwani sasa hivi hao Waamerika weusi wapo hatua nyingine kabisa ya ubaguzi hivyo mapambano yake pia yamebadilika..
Leo hii baada ya kifo cha siasa za West na East, tupo ktk hatua tofauti kabisa kama vile South walivyokuwa wakimwona Kaburu kabla ya Uhuru wao. Hatuwezi sema fikra za Steve Biko na kina Oliver Tambo hazina mpango kwa sababu tu walisema - Utawala wa Kaburu utasokomezwa baharini!..Fikra za mwalimu tuzienzi kwa kukumbuka safari alotuambia tuifanye kufikia maendeleo yetu sote bikla kumwacha mtu nyuma. Sasa iwe Ujamaa, Ubepari na lugha yoyote ile mnayotaka kuitumia lakini muhimu ni kuelewa kuwa tulikuwa na malengo. Malengo hayo yatafikiwa ikiwa tu tutazingatia mambo muhimu hata kama mbinu zetu za kufika huko zitabadilika. The vision remains!
Wakuu nipeni point nzito nipate kuelewa kinachoendela maanake naona vidole tuuu zuri silioni upande wa pili iwe fikra wala matendo.