Field Marshal John Okello ni mwanamapinduzi au missionari

Hilo ndio swali la msingi la kujiuliza, Ambapo jibu lake Utakua ni mwarobaini wa uzi huu.

Nami ni kuulize?
"Unaweza nipa vigezo vya mapinduzi yeyote Kuitwa "MATUKUFU"?"
Nitakujibu ikiwa utanipa tafsiri ya neno "mapinduzi" na tena iwe mapinduzi hayo uliokusudia.
 
Hawataki, mleta mada anataka Sultan arudi.
Hawataki, mleta mada anataka Sultan arudi.
Usinitia maneno kinywani. Ninachotaka uamuzi wa Zanzibari uheshimiwe uliotokana na ushindi wa sanduku la kura. Na hilo limefanyika na kuendelea kufanyika. Dhambi waliofanya ASP(CCM)kwa mauaji 1964 litaendelea kuwaadhibu na mpaka dunia itakapomalizika CCM haiwezi kushinda uchaguzi huru haki na wa kidemokrasia Zanzibar. Hii ina maanisha kizazi kwa kizazi itazidi kuichukia CCM Zanzibar na wataendelea kuiadhibu kwenye sanduku la kura na wao waendelee na mapinduzi Mtakatifu
 
Nitakujibu ikiwa utanipa tafsiri ya neno "mapinduzi" na tena iwe mapinduzi hayo uliokusudia.
Umesema kama okello alikuwa anachukia ufalme angeanza kuondoa wa Uganda na sio was Zanzibar,kwani sultani halali tangu mwanzo aliyetawala zenji alitoka omani?kipi kilimsibu sultani halali baada ya kuwaomba msaada wa kivita kwa hao wa oman kumshinda mreno?kumbe okello alisaidia kuondoa waoman wavamizi na kurudisha visiwa kwa wenyeji sio?
 
Ni baada kushindwa na mbinu zote hizo chafu kupanua ukafiri visiwani, Kanisa limeamua kuwapeleka Waumini wao kutoka Tanganyika na kuhamia visiwsani chini ya kipengele cha mtanzania anahaki ya kuishi popote pale Tanzania. Lakini hilo halitoshi ikalazimishwa kwenye katiba ya Zanzibar kuwepo na kipengele kuwa Mtanganyika akitimiza kuishi miaka kumi atakuwa na haki ya kuitwa eti mzanzibari na hivyo kuongeza utitiri wa ukafiri visiwani. Hapo kabla ndani ya Katiba imeeleza kuwa mzanzibari ni lazima mtu awe amezaliwa visiwani au mmoja wa wazazi wake awe amezaliwa Zanzibar.
Mbona wanzibar mpo wengi bara! Acha ubaguzi
 
hivi huoni watu wameanza kutolewa mpaka machoooo, au mpaka uambiwe mimi ni muislamu au mkristo ???

Unafikiri Dar es Salaam ilikuwa hivyo kabla kuja ukristo hapo???
Kwahiyo aliyemtoa macho muathirika alikuwa mkristo?
 
Ni kweli awali nilikuwa najibu,baadae nikalitengua na hivyo kulazimika kuwasilisha kwenye majlis nipatie jibu
1.Nilikuwa na jibu pale Kiongozi wa ASP, marehemu Karume alipokwenda kutoa taarifa kwa Kamishana mzungu wa Polisi kuwa kuna kundi la watu wanaotaka kufanya fujo kwa kutumia jina la ASP,hivyo yeye na chama chake hakihusiki na fujo hizo.Karume baada ya hapo aliondoka kabisa Zanzibar(durusu kitabu Zanzibar revolution and its aftermath)Hivyo ilinijia hisia kuwa Okello ni mwana mapinduzi halisi
2.Missionari - baada yakuzitafakari hotuba, kauli na vitendo vyake vya kidhalimu, kikatili vilivoambatana na kudai kukamilisha ndoto ya mungu wake na kujiita yeye ni askari mkristo, alinifanya niyeyeyushe mawazo yangu kuhusu uwana mapinduzi wake.Lakini kitendo cha ghafla kumvua madaraka Hayati Karume ya Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi na kuchukua yeye mwenyewe kikanizidisha hofu kuwa Okello alikuwa ana agenda nyengine.
Sasa niko njia panda, kama popo si ndege wala si mnyama. Nisaidie mwana Majlis

Nimekueleza kwa ufasaha kuwa zaidi ya watu 20,000(waislamu)walikimbia Zanzibar kunusuru maisha yao yasikatiliwe. Umati huo huwezi kusema ulikuwa ni wote masultani. Sijui maana ya neno mzalendo ulivyo kusudia.Kama ni mkereketwa au mzawa? Sultan Jamshid ana matumbo(generations) yaliochanganyika"mixed race" zaidi ya kumi ziliozaliwa Zanzibar. Kwa kifupi ni Mzanzibari kamili na halisi na ana sifa zote kuliko hao walioendesha mauaji, genge la Okello

Bado unasema kwa nini amekimbia, nakuuliza kama wewe ungefanya nini?wakati Muuaji Okello akisika kwenye redio akisema hivi nanukuu "During a speech on radio, Okello dubbed himself the "Field Marshal of Zanzibar and Pemba".He gave the Sultan an order to kill his family and to kill himself afterwards; otherwise, Okello would do so himself."


Unanishutumu,unanishitaki,unatia hatiani na kuni hukumu bure kutokana dhana potofu tu.Pahali gani katika "thread" yangu niliwaita wakiristo wanaoishi Zanzibar kuwa ni makafiri?.Ni shutuma zisiokuwa na msingi zaidi ya kujishuku.

Waislamu wanaokimbilia nchi za ulaya zisizo za kiislamu kutoka mataifa Kama Syria, Lebanon Na Yemen, dini yao bado itabaki kuwa ya kiislam mpaka hapo weatakapoikana.

Ulipoongelea kuhusu watanganyika kuishi miaka kumi Na kupata haki ya kuitwa wazanzibari hivyo kuongeza "UTITIRI WA MAKAFIRI KISIWANI" ulikua ukimaanisha nini?
 
Ulipoongelea kuhusu watanganyika kuishi miaka kumi Na kupata haki ya kuitwa wazanzibari hivyo kuongeza "UTITIRI WA MAKAFIRI KISIWANI" ulikua ukimaanisha nini?
Ni dhana inayo kusumbua. Neno Kafir ni neno la kiarabu lenye maana ya mtu anaepinga uwepo wa mungu. Wengi wahamiaji kutoka Tanganyika wanaolowea Zanzibar wanatoka ukanda wa pwani ambao wengi wao wanaamini uwepo wa mungu. Kwa mujibu wa imani, silka na utamaduni wa wazanzibari hawataki kuwa na "UTITIRI WA MAKAFIRI KISIWANI".Sasa kusema hivyo nimeigusa imani gani zaidi ya Makafiri?
Mbona wanzibar mpo wengi bara! Acha ubaguzi
Ni milki yetu(eneo tuliolitawala)kiasili
Umesema kama okello alikuwa anachukia ufalme angeanza kuondoa wa Uganda na sio was Zanzibar,kwani sultani halali tangu mwanzo aliyetawala zenji alitoka omani?kipi kilimsibu sultani halali baada ya kuwaomba msaada wa kivita kwa hao wa oman kumshinda mreno?kumbe okello alisaidia kuondoa waoman wavamizi na kurudisha visiwa kwa wenyeji sio?
Nani mwenyeji wa Zanzibar zaidi kati ya Karume na Muhammed Shamte? Yule hata uraiwa wake uliohojiwa mahakamani na mwenye uraia wa "affidavit" na mwana kindakindaki, vizazi kwa vizazi kuzaliwa visiwani?

Mohammed Shamte,Waziri Mkuu ni mshirazi wa kipemba ndio aliepinduliwa baada ya kushinda kwa sanduku la kura uchaguzi huru na wa haki.Nadhani unaelewa taratibu ya utawala wa nchi/serikali zinazongozwa na Waziri mkuu. Aliepinduliwa ni mwenye serikali nae alikuwa ni Shamte. Baada ya Mapinduzi aliewekwa gerezani(Tanganyika -waandaji wa mapinduzi)kwa miaka kumi alikuwa Shamtena baraza lake la mawziri ( walioshinda uchaguzi majimboni mwao nasi wengine yeyote, kwa vile serikali yake ndio iliopinduliwa.
Kumbuka pia Jamshid alipokimbia mauaji alikimbilia Kenya na baadae Tanganyika. Kwanini asikamatwe alipokuwa dares salaam na kuwekwa ndani kama akina Shamte, badala yake akaandaliwa safari na Nyerere kwenda Uingereza ambako mpaka leo yupo?Wakati wenzake waliosekwa gerezani kwa miaka kumi wote wameshakufa?

Tatizo nchi yenu haina historia na mnalazimisha na nchi nyengine zisiwe na historia kama nyie.Dhamira ya Okello kwa Zanzibar ilikuwa si kuwaondoa waislamu wa Zanzibari wenye asili ya Ghuba,lakini ilikuwa ni kuudhibiti uislamu kwa mauaji. Kutoka maneno yake mwenyewe alinukuliwa "Okello appealed to the black majority, but at same time, as a militant Christian who claimed to hear the voice of God in his head, Okello's appeal on an island whose population was 95% Muslim was limited"

Baadae hata hao ASP wenyewe walipoishtukia dhamira yake hiyo ovu walimfukuza na kumtangaza kama mtu asietakikana visiwani. ASP ilikwenda mbali zaidi na kutamka kuwa jina la Okello lifutwe,lisitamkwe, kutajwa wala kukumbukwa katika historia ya mapinduzi ya Zanzibar.


 
Ni dhana inayo kusumbua. Neno Kafir ni neno la kiarabu lenye maana ya mtu anaepinga uwepo wa mungu. Wengi wahamiaji kutoka Tanganyika wanaolowea Zanzibar wanatoka ukanda wa pwani ambao wengi wao wanaamini uwepo wa mungu. Kwa mujibu wa imani, silka na utamaduni wa wazanzibari hawataki kuwa na "UTITIRI WA MAKAFIRI KISIWANI".Sasa kusema hivyo nimeigusa imani gani zaidi ya Makafiri?

Ni milki yetu(eneo tuliolitawala)kiasili
Nani mwenyeji wa Zanzibar zaidi kati ya Karume na Muhammed Shamte? Yule hata uraiwa wake uliohojiwa mahakamani na mwenye uraia wa "affidavit" na mwana kindakindaki, vizazi kwa vizazi kuzaliwa visiwani?

Mohammed Shamte,Waziri Mkuu ni mshirazi wa kipemba ndio aliepinduliwa baada ya kushinda kwa sanduku la kura uchaguzi huru na wa haki.Nadhani unaelewa taratibu ya utawala wa nchi/serikali zinazongozwa na Waziri mkuu. Aliepinduliwa ni mwenye serikali nae alikuwa ni Shamte. Baada ya Mapinduzi aliewekwa gerezani(Tanganyika -waandaji wa mapinduzi)kwa miaka kumi alikuwa Shamtena baraza lake la mawziri ( walioshinda uchaguzi majimboni mwao nasi wengine yeyote, kwa vile serikali yake ndio iliopinduliwa.
Kumbuka pia Jamshid alipokimbia mauaji alikimbilia Kenya na baadae Tanganyika. Kwanini asikamatwe alipokuwa dares salaam na kuwekwa ndani kama akina Shamte, badala yake akaandaliwa safari na Nyerere kwenda Uingereza ambako mpaka leo yupo?Wakati wenzake waliosekwa gerezani kwa miaka kumi wote wameshakufa?

Tatizo nchi yenu haina historia na mnalazimisha na nchi nyengine zisiwe na historia kama nyie.Dhamira ya Okello kwa Zanzibar ilikuwa si kuwaondoa waislamu wa Zanzibari wenye asili ya Ghuba,lakini ilikuwa ni kuudhibiti uislamu kwa mauaji. Kutoka maneno yake mwenyewe alinukuliwa "Okello appealed to the black majority, but at same time, as a militant Christian who claimed to hear the voice of God in his head, Okello's appeal on an island whose population was 95% Muslim was limited"

Baadae hata hao ASP wenyewe walipoishtukia dhamira yake hiyo ovu walimfukuza na kumtangaza kama mtu asietakikana visiwani. ASP ilikwenda mbali zaidi na kutamka kuwa jina la Okello lifutwe,lisitamkwe, kutajwa wala kukumbukwa katika historia ya mapinduzi ya Zanzibar.


Kwa style hii wacha tuwatawale
 
Nitakujibu ikiwa utanipa tafsiri ya neno "mapinduzi" na tena iwe mapinduzi hayo uliokusudia.
Mapinduzi tukufu ni hali ya wazalendo wa nchi kufanya mabadiliko ya uongozi dhalimu kwa njia ya mapambano iwe ya kumwaga damu au bila kumwaga damu.
 
Mapinduzi tukufu ni hali ya wazalendo wa nchi kufanya mabadiliko ya uongozi dhalimu kwa njia ya mapambano iwe ya kumwaga damu au bila kumwaga damu.
Wazalendo wa nchi .......John Okello,Eugen,Edington, Mfaranyaki,Kaujore,Washoto nk. Uongozi dhalimu ...Uongozi ulioshinda uchaguzi huru na wa haki kupitia sanduku la kura.Kumwaga damu ..kumwaga damu kwa misingi ya kiimani na kikabila.

Mapinduzi matukufu... umeyatolea tafsiri nzuri sana, sasa ulichotaka kujua kutoka kwangu ni kitu gani? Niseme Mapinduzi matukufu nikama Quran? au utukufu wake ni wakuwaangamiza waislamu?
C:\DOCUME~1\ib\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg

C:\DOCUME~1\ib\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg
 
Mwana Mapinduzi
Field Marshal John Okello alizaliwa wilaya ya Lango nchini uganda mwaka 1937.Okello akivaa ngozi ya mwana mapinduzi alijikusanya na genge la kukodiwa la wauwaji,akina,Eugen, Mfaranyaki, Washoto,Kaujore,Natepe,Darweshh na wengine kutoka Kenya,Msumbiji na Tanganyika waliweza kuipindua serikali changa iliochaguliwa na wananchi kwa mujibu wa Sheria, masharti na taratibu ya Waziri Mkuu wa kwanza mzalendo Muhammed Shamte, tarehe 12 Januari 1964

Vionjo vya Mapinduzi Matukufu

The Americans living in Stone Town fled to the English Club, where the point for evacuation. Those travelling in the car convey to the English Club were shocked to the battered bodies of Arab men lying out on the streets of Stone Town with their severed penises and testicles shoved into their mouths

As part of Okello's carefully laid out plans, all over the island, gangs of Africans armed with knives, spears and pangas (machetes) went about systemically killing all the Arabs they could find. The American diplomat Don Patterson described his horror as he watched from his house as he saw a gang of African men storm the house of an Arab, behead him in public with a panga, followed by screams from within his house as his wife and three children were raped and killed, followed by the same scene being repeated at the next house of an Arab, followed by yet another and another"
Source: Patterson, Don Revolution In Zanzibar: An American's Cold War Tale, New York: Basic Books, 2002 page 68.

Missionari

Zanzibar na Uganda zilikuwa zote ziko kwenye hifadhi ya Uingereza" Protectorate". Zote zilikuwa zinaheshimu ufalme kwenye Katiba zao. Wakati Zanzibar ilipopata uhuru kutoka Uingereza ilikuwa imeridhia "constitutional Monarchy" tu lakini Uganda ilikuwa na mfalme Baganda, mfalme wa nchi ndani ya nchi ya Uganda."Buganda is a sub national kingdom within Uganda"

Ni dhahiri kuwa kama John Okello alikuwa anachukia ufalme angeanza kuuondoa kwao kabla ya kuja Zanzibar.Lakini maandiko yalioandikwa na watu wastahiki na mengine kutoka kinywani mwake mwenyewe inaonesha kuwa lengo lake lilikuwa ni kuwaangamiza waislamu na chuki ya kikatoliki dhidi ya uislamu. Kwa kuhofia kupoteza au kuongeza maana, vipande hivi vya maandishi vinajieleza wenyewe

"Okello appealed to the black majority, but at same time, as a militant Christian who claimed to hear the voice of God in his head, Okello's appeal on an island whose population was 95% Muslim was limited"

He maintained that he heard a voice commanding him, as a Christian, to free the Zanzibari people from the Muslim Arabs. The American diplomat Don Patterson wrote "Genocide was not a term that in the vogue then, as it came to be later, but it is fair to say that in parts of Zanzibar, the killing of Arabs was genocide, pure and simple".

Okello,an eccentric, power-crazed man with a taste for cruelty frequently went on the radio to urge his followers in thunderous Old Testament language to kill as many Arabs as possible, with the maximum of brutality.

Huyu ndio Mganda aliowaangamiza waislamu Zanzibar na miaka minane baadae Wazanzibari haohao wakalazimishwa kwenda kupigana Uganda kumuondoa mtawala muislamu Al-Hajj Iddi Amin Dadah kwa nia ya kumrejesha Dr.Obote, kutoka kabila, dini dhehebu moja na Okello - la ACHOLI

Je, hii ndio sababu kuu ya ASP wakaona ni heri kulifuta kabisa jina la Okello katika historia ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?

Je, Okello alikuwa Mwana mapinduzi au missionari wa Kikatoliki?
..Haya alikuwa missionary,so whats Your Point??
 
Wazalendo wa nchi .......John Okello,Eugen,Edington, Mfaranyaki,Kaujore,Washoto nk. Uongozi dhalimu ...Uongozi ulioshinda uchaguzi huru na wa haki kupitia sanduku la kura.Kumwaga damu ..kumwaga damu kwa misingi ya kiimani na kikabila.

Mapinduzi matukufu... umeyatolea tafsiri nzuri sana, sasa ulichotaka kujua kutoka kwangu ni kitu gani? Niseme Mapinduzi matukufu nikama Quran? au utukufu wake ni wakuwaangamiza waislamu?
C:\DOCUME~1\ib\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg

C:\DOCUME~1\ib\LOCALS~1\Temp\msohtmlclip1\01\clip_image001.jpg
Nchi nzima ya Zanzibar ilipinduliwa na watu sita?
 
Back
Top Bottom