onechromosome
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 1,243
- 777
Sultani alikimbia nn mwafrika mwenzetu?Iliyopinduliwa ni serikali ya Shamte, baadaye alifungwa jela miaka 10 na Mkatoliki Nyerere huko Tanganyika bila kufikishwa mahakamani. Hayo yalitokea kabla ya huo uitwao Muungano