Baraghash
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 2,713
- 1,786
Mwana Mapinduzi
Field Marshal John Okello alizaliwa wilaya ya Lango nchini uganda mwaka 1937.Okello akivaa ngozi ya mwana mapinduzi alijikusanya na genge la kukodiwa la wauwaji,akina,Eugen, Mfaranyaki, Washoto,Kaujore,Natepe,Darweshh na wengine kutoka Kenya,Msumbiji na Tanganyika waliweza kuipindua serikali changa iliochaguliwa na wananchi kwa mujibu wa Sheria, masharti na taratibu ya Waziri Mkuu wa kwanza mzalendo Muhammed Shamte, tarehe 12 Januari 1964
Vionjo vya Mapinduzi Matukufu
The Americans living in Stone Town fled to the English Club, where the point for evacuation. Those travelling in the car convey to the English Club were shocked to the battered bodies of Arab men lying out on the streets of Stone Town with their severed penises and testicles shoved into their mouths
As part of Okello's carefully laid out plans, all over the island, gangs of Africans armed with knives, spears and pangas (machetes) went about systemically killing all the Arabs they could find. The American diplomat Don Patterson described his horror as he watched from his house as he saw a gang of African men storm the house of an Arab, behead him in public with a panga, followed by screams from within his house as his wife and three children were raped and killed, followed by the same scene being repeated at the next house of an Arab, followed by yet another and another"
Source: Patterson, Don Revolution In Zanzibar: An American's Cold War Tale, New York: Basic Books, 2002 page 68.
Missionari
Zanzibar na Uganda zilikuwa zote ziko kwenye hifadhi ya Uingereza" Protectorate". Zote zilikuwa zinaheshimu ufalme kwenye Katiba zao. Wakati Zanzibar ilipopata uhuru kutoka Uingereza ilikuwa imeridhia "constitutional Monarchy" tu lakini Uganda ilikuwa na mfalme Baganda, mfalme wa nchi ndani ya nchi ya Uganda."Buganda is a sub national kingdom within Uganda"
Ni dhahiri kuwa kama John Okello alikuwa anachukia ufalme angeanza kuuondoa kwao kabla ya kuja Zanzibar.Lakini maandiko yalioandikwa na watu wastahiki na mengine kutoka kinywani mwake mwenyewe inaonesha kuwa lengo lake lilikuwa ni kuwaangamiza waislamu na chuki ya kikatoliki dhidi ya uislamu. Kwa kuhofia kupoteza au kuongeza maana, vipande hivi vya maandishi vinajieleza wenyewe
"Okello appealed to the black majority, but at same time, as a militant Christian who claimed to hear the voice of God in his head, Okello's appeal on an island whose population was 95% Muslim was limited"
He maintained that he heard a voice commanding him, as a Christian, to free the Zanzibari people from the Muslim Arabs. The American diplomat Don Patterson wrote "Genocide was not a term that in the vogue then, as it came to be later, but it is fair to say that in parts of Zanzibar, the killing of Arabs was genocide, pure and simple".
Okello,an eccentric, power-crazed man with a taste for cruelty frequently went on the radio to urge his followers in thunderous Old Testament language to kill as many Arabs as possible, with the maximum of brutality.
Huyu ndio Mganda aliowaangamiza waislamu Zanzibar na miaka minane baadae Wazanzibari haohao wakalazimishwa kwenda kupigana Uganda kumuondoa mtawala muislamu Al-Hajj Iddi Amin Dadah kwa nia ya kumrejesha Dr.Obote, kutoka kabila, dini dhehebu moja na Okello - la ACHOLI
Je, hii ndio sababu kuu ya ASP wakaona ni heri kulifuta kabisa jina la Okello katika historia ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?
Je, Okello alikuwa Mwana mapinduzi au missionari wa Kikatoliki?
Field Marshal John Okello alizaliwa wilaya ya Lango nchini uganda mwaka 1937.Okello akivaa ngozi ya mwana mapinduzi alijikusanya na genge la kukodiwa la wauwaji,akina,Eugen, Mfaranyaki, Washoto,Kaujore,Natepe,Darweshh na wengine kutoka Kenya,Msumbiji na Tanganyika waliweza kuipindua serikali changa iliochaguliwa na wananchi kwa mujibu wa Sheria, masharti na taratibu ya Waziri Mkuu wa kwanza mzalendo Muhammed Shamte, tarehe 12 Januari 1964
Vionjo vya Mapinduzi Matukufu
The Americans living in Stone Town fled to the English Club, where the point for evacuation. Those travelling in the car convey to the English Club were shocked to the battered bodies of Arab men lying out on the streets of Stone Town with their severed penises and testicles shoved into their mouths
As part of Okello's carefully laid out plans, all over the island, gangs of Africans armed with knives, spears and pangas (machetes) went about systemically killing all the Arabs they could find. The American diplomat Don Patterson described his horror as he watched from his house as he saw a gang of African men storm the house of an Arab, behead him in public with a panga, followed by screams from within his house as his wife and three children were raped and killed, followed by the same scene being repeated at the next house of an Arab, followed by yet another and another"
Source: Patterson, Don Revolution In Zanzibar: An American's Cold War Tale, New York: Basic Books, 2002 page 68.
Missionari
Zanzibar na Uganda zilikuwa zote ziko kwenye hifadhi ya Uingereza" Protectorate". Zote zilikuwa zinaheshimu ufalme kwenye Katiba zao. Wakati Zanzibar ilipopata uhuru kutoka Uingereza ilikuwa imeridhia "constitutional Monarchy" tu lakini Uganda ilikuwa na mfalme Baganda, mfalme wa nchi ndani ya nchi ya Uganda."Buganda is a sub national kingdom within Uganda"
Ni dhahiri kuwa kama John Okello alikuwa anachukia ufalme angeanza kuuondoa kwao kabla ya kuja Zanzibar.Lakini maandiko yalioandikwa na watu wastahiki na mengine kutoka kinywani mwake mwenyewe inaonesha kuwa lengo lake lilikuwa ni kuwaangamiza waislamu na chuki ya kikatoliki dhidi ya uislamu. Kwa kuhofia kupoteza au kuongeza maana, vipande hivi vya maandishi vinajieleza wenyewe
"Okello appealed to the black majority, but at same time, as a militant Christian who claimed to hear the voice of God in his head, Okello's appeal on an island whose population was 95% Muslim was limited"
He maintained that he heard a voice commanding him, as a Christian, to free the Zanzibari people from the Muslim Arabs. The American diplomat Don Patterson wrote "Genocide was not a term that in the vogue then, as it came to be later, but it is fair to say that in parts of Zanzibar, the killing of Arabs was genocide, pure and simple".
Okello,an eccentric, power-crazed man with a taste for cruelty frequently went on the radio to urge his followers in thunderous Old Testament language to kill as many Arabs as possible, with the maximum of brutality.
Huyu ndio Mganda aliowaangamiza waislamu Zanzibar na miaka minane baadae Wazanzibari haohao wakalazimishwa kwenda kupigana Uganda kumuondoa mtawala muislamu Al-Hajj Iddi Amin Dadah kwa nia ya kumrejesha Dr.Obote, kutoka kabila, dini dhehebu moja na Okello - la ACHOLI
Je, hii ndio sababu kuu ya ASP wakaona ni heri kulifuta kabisa jina la Okello katika historia ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar?
Je, Okello alikuwa Mwana mapinduzi au missionari wa Kikatoliki?