kajirita
JF-Expert Member
- Jul 27, 2013
- 1,575
- 635
Mh!
Kuna kaharufu ka ukweli hapa!
Wewe unafikiri ni mchezo kwa Rais wetu kusafiri kutoka Bongo mpakaSouth Africa kwenda kumsalimu mkubwa wa HSC aliyejeruhiwa na tindikali wakati waliojeruhiwa na mabomu hapa Arusha hajawahi hata kuwapa pole?
Hilo haliwezekani bila ya kuwa na maslahi naye!!!
Kuna kaharufu ka ukweli hapa!
Wewe unafikiri ni mchezo kwa Rais wetu kusafiri kutoka Bongo mpakaSouth Africa kwenda kumsalimu mkubwa wa HSC aliyejeruhiwa na tindikali wakati waliojeruhiwa na mabomu hapa Arusha hajawahi hata kuwapa pole?
Hilo haliwezekani bila ya kuwa na maslahi naye!!!