kuna huyu mwarabu anaitwa Kamrani mnamjua vizuri?
Kama nakumbuka vizuri, huyu alikuwa mmoja wa directors wa mwanzo pale Kilimanjaro Kempinski. Alikuwa na kiburi huyu jamaa na alishiriki kwa karibu kutafuta eneo la Bilila Lodge. ndoile timu iliyonunua zile suti za mkuu wa kaya kupotia kwa Lisa ila boss wa ni Al bawady
wajameni. Ivi Arsenal tutatoka kweli kwa West Bromwich? Yaan hadi kichwa kinauma! Ctak ata kuckia machelsea yanachukua champs league!
sasa wasipofanya biashara wale wapi??
Hii familia ya kikwete wala kikwete haiwezi kuchafuliwa bali ni ukweli kwani tushaizoea kwa ufisadi.
Joshua Nassary alisema kweli kwamba kikwete asikatishe Arusha kwani hafai, Nami natangaza kuwa kikwete asikatize Tabora kwani yy na chama chake hawajafanya chochote Tbr licha ya kupewa kuraz zaidi ya 70% kwenye uchanguzi 2010.
Shardcole@Tabora1
Hata Wasira anafanya biashara na Waarabu wa Dubai,nilishwahi kumkuta Dubai zaidi ya mara mbili!nashanga akijiita msafi!