Ni ngumu sana kufanya biashara ya Familia kwa wakristo, biashara za Familia tuwaachie waislam?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Biashara huwa zinarithishwa kwa watoto hasa wa kiume wanaoendeleza kizazi lakini kwa wakristo hali ni tofauti, Baba akifa nusu ya mali zinaenda kwa mke ambae anaweza akawa hajui chochote kuhusu biashara, hapo ataona heri auze biashara ili apate pesa za kuendeleza huko kwao na akatoe sadaka kwa Mwamposa, biashara inakufa kifo cha mende.

Tukija kwa waislam mke anapewa Asilimia 10 tu ya mali, mali kwa Asilimia kubwa zinabaki kwa watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi, mabinti wanaenda Kuendelea vizazi vya wengine hupewa nusu ya mali wanazopata watoto wa kiume. Hivyo watoto wa kiume kupewa kipaumbele kurithisi sehemu kubwa kuna uwezekano wa kuendeleza biashara.

Hata wazungu ukiangalia wamefanikiwa zaidi lakini biashara za Familia zimekuwa ni tatizo kwasababu mifumo ya kifamilia inawakandamiza sana kina baba, mama akifungua mdomo kidogo tu anapewa nusu ya mali zote na watoto, ndio maana unakuta wakifariki biashara zao zinamilikiwa na watu wengine, hata urithi wao wakifa wanaona heri wagawe kwa mashirika ya misaada. Tajiri kama. Bill gates hatawaachia chochote watoto wake, mke wake alishamuacha akapunwa matrilioni ya mgao wa mali.
 
Acha kutetea ujinga na usiseme waislam Sema waarabu na wahindi wale ndio mabingwa wa kuendeleza biashara za wazazi makampuni mengi ya kurithi hapa bongo ni ya waarabu na wahindi kama kuna familia mojawapo ya muislam mmoja mweusi tz ambayo ni tajiri kutokana na mali za kurithi walizoziendeleza nitajie

Likija swala la mali na ugomvi wa mali Mtz mweusi awe Mkriato au muislam familia huwa zinafurukuta vibaya tena kwa waislam ndio huwa vita ukute mzee aliowa wake wengi

Hayo mambo wasifie waislam wa kiarabu tu ila sio weusi
 
Acha kutetea ujinga na usiseme waislam Sema waarabu na wahindi wale ndio mabingwa wa kuendeleza biashara za wazazi makampuni mengi ya kurithi hapa bongo ni ya waarabu na wahindi kama kuna familia mojawapo ya muislam mmoja mweusi tz ambayo ni tajiri kutokana na mali za kurithi walizoziendeleza nitajie

Likija swala la mali na ugomvi wa mali Mtz mweusi awe Mkriato au muislam familia huwa zinafurukuta vibaya tena kwa waislam ndio huwa vita ukute mzee aliowa wake wengi

Hayo mambo wasifie waislam wa kiarabu tu ila sio weusi
Sio waarabu tu, uislam ni mfumo wa maisha, Kuna Familia za kiislam nazijua watoto wa kiume ndio wanaoendeleza biashara za baba zao kama real estate, mashamba, logistics, n.k. Watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi ndio wasimamizi wakuu.

Kwa wakristo ni ngumu hii, mke anapewa nusu ya mali zote anaweza kuziuza zote ajenge kwao, watoto wa kike wanaoendeleza vizazi vya watu wa nje nao wanapewa mali Sawa na watoto wa kiume,
 
Sio waarabu tu, uislam ni mfumo wa maisha, Kuna Familia za kiislam nazijua watoto wa kiume ndio wanaoendeleza biashara za baba zao kama real estate, mashamba, logistics, n.k. Watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi ndio wasimamizi wakuu.

Kwa wakristo ni ngumu hii, mke anapewa nusu ya mali zote anaweza kuziuza zote ajenge kwao, watoto wa kike wanaoendeleza vizazi vya watu wa nje nao wanapewa mali Sawa na watoto wa kiume,
Mkuu unalazimisha tu mawazo yako lakini hayako real... As long as Ni weusi Mali za urithi huwa hazidumu huwaga ni vurugu tu. Huo mfumo wa uislam haupo compatible na waislamu weusi)
 
Kuna wa kuwazidi wazungu katika hili mana waarabu,wahindi na waafrika hatupishani sana katika ujinga na upumbafu.
Wazungu sheria zinawabana sana wana mifumo ambayo siyo rafiki kwa mwanaume kuwa na Familia. imefikia hatua wanaogopa hata kuoa

ndoa kibao zinavunjika wanawake wanapewa nusu ya mali zote,

Ndoa nyingi zikivunjika watoto wanaishi na mama yao, ukaribu na baba zao unafifia.
 
Biashara huwa zinarithishwa kwa watoto hasa wa kiume wanaoendeleza kizazi lakini kwa wakristo hali ni tofauti, Baba akifa nusu ya mali zinaenda kwa mke ambae anaweza akawa hajui chochote kuhusu biashara, hapo ataona heri auze biashara ili apate pesa za kuendeleza huko kwao na akatoe sadaka kwa Mwamposa, biashara inakufa kifo cha mende.

Tukija kwa waislam mke anapewa Asilimia 10 tu ya mali, mali kwa Asilimia kubwa zinabaki kwa watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi, mabinti wanaenda Kuendelea vizazi vya wengine hupewa nusu ya mali wanazopata watoto wa kiume. Hivyo watoto wa kiume kupewa kipaumbele kurithisi sehemu kubwa kuna uwezekano wa kuendeleza biashara..
ukiwa na binti yako ameolewa, mumewe akafariki, utapendelea nini kati ya apate nusu ya urithi au asilimia 10? kuwa mkweli. hii yote usije kua umeandika ukipinga wanawake kupata mgao mkubwa kwenye mali walizotafuta na waume zao bila kujua kuwa hio itaathiri sio dada zako tu, bali shangazi zako na mabinti zako pia. pia, mgao kwa mirathi ya kiislam hauko kama ulivoandika hapo, unapotosha. waache waislam wenyewe waelezee.
 
ukiwa na binti yako ameolewa, mumewe akafariki, utapendelea nini kati ya apate nusu ya urithi au asilimia 10? kuwa mkweli. hii yote usije kua umeandika ukipinga wanawake kupata mgao mkubwa kwenye mali walizotafuta na waume zao bila kujua kuwa hio itaathiri sio dada zako tu, bali shangazi zako na mabinti zako pia. pia, mgao kwa mirathi ya kiislam hauko kama ulivoandika hapo, unapotosha. waache waislam wenyewe waelezee.
Wakati huo kafiwa na mumewe huku yeye age imekwenda na urembo umepungua. Kuoleka tena ni kugumu
 
Tofauti na wahindi na waarabu, kama kuna mweusi hata mmoja aliyeweza kuyafanya haya unayoyasema hapa kwa kigezo cha kuwa muislamu tu, unaweza kumtaja.
Tatizo la waislam wengi weusi wanajichukuliaga waarabu kama ndugu zao yaani wakiona maisha ya waarabu ndio wanajiona kama ndio wao kumbe waarabu wana falsafa tofauti kabisa na ndio maana hawataki kabisa kuowana na watu weusi
 
Sio waarabu tu, uislam ni mfumo wa maisha, Kuna Familia za kiislam nazijua watoto wa kiume ndio wanaoendeleza biashara za baba zao kama real estate, mashamba, logistics, n.k. Watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi ndio wasimamizi wakuu.

Kwa wakristo ni ngumu hii, mke anapewa nusu ya mali zote anaweza kuziuza zote ajenge kwao, watoto wa kike wanaoendeleza vizazi vya watu wa nje nao wanapewa mali Sawa na watoto wa kiume,
Huo mfumo wameuweza waarabu na waislam wa kihindi ila mtu mweusi tusitaniane hapa kama unaifaham familia Tajiri ya kiislam ya watu weusi walioachiwa urisi wakauendeleza hapa tz na sasa ni matajiri nitajie
 
Tatizo la waislam wengi weusi wanajichukuliaga waarabu kama ndugu zao yaani wakiona maisha ya waarabu ndio wanajiona kama ndio wao kumbe waarabu wana falsafa tofauti kabisa na ndio maana hawataki kabisa kuowana na watu weusi
Kama vile walivyo wakristo hujiona kua wao ni wayahudi au wamarekani weusi wa Ifakara,wakiona maendeleo ya hao niliowataja, hujiona kama wao ndio wameendelea hivyo.
 
Back
Top Bottom