Uncle bright
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 1,040
- 4,080
Biashara huwa zinarithishwa kwa watoto hasa wa kiume wanaoendeleza kizazi lakini kwa wakristo hali ni tofauti, Baba akifa nusu ya mali zinaenda kwa mke ambae anaweza akawa hajui chochote kuhusu biashara, hapo ataona heri auze biashara ili apate pesa za kuendeleza huko kwao na akatoe sadaka kwa Mwamposa, biashara inakufa kifo cha mende.
Tukija kwa waislam mke anapewa Asilimia 10 tu ya mali, mali kwa Asilimia kubwa zinabaki kwa watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi, mabinti wanaenda Kuendelea vizazi vya wengine hupewa nusu ya mali wanazopata watoto wa kiume. Hivyo watoto wa kiume kupewa kipaumbele kurithisi sehemu kubwa kuna uwezekano wa kuendeleza biashara.
Hata wazungu ukiangalia wamefanikiwa zaidi lakini biashara za Familia zimekuwa ni tatizo kwasababu mifumo ya kifamilia inawakandamiza sana kina baba, mama akifungua mdomo kidogo tu anapewa nusu ya mali zote na watoto, ndio maana unakuta wakifariki biashara zao zinamilikiwa na watu wengine, hata urithi wao wakifa wanaona heri wagawe kwa mashirika ya misaada. Tajiri kama. Bill gates hatawaachia chochote watoto wake, mke wake alishamuacha akapunwa matrilioni ya mgao wa mali.
Tukija kwa waislam mke anapewa Asilimia 10 tu ya mali, mali kwa Asilimia kubwa zinabaki kwa watoto wa kiume wanaoendeleza kizazi, mabinti wanaenda Kuendelea vizazi vya wengine hupewa nusu ya mali wanazopata watoto wa kiume. Hivyo watoto wa kiume kupewa kipaumbele kurithisi sehemu kubwa kuna uwezekano wa kuendeleza biashara.
Hata wazungu ukiangalia wamefanikiwa zaidi lakini biashara za Familia zimekuwa ni tatizo kwasababu mifumo ya kifamilia inawakandamiza sana kina baba, mama akifungua mdomo kidogo tu anapewa nusu ya mali zote na watoto, ndio maana unakuta wakifariki biashara zao zinamilikiwa na watu wengine, hata urithi wao wakifa wanaona heri wagawe kwa mashirika ya misaada. Tajiri kama. Bill gates hatawaachia chochote watoto wake, mke wake alishamuacha akapunwa matrilioni ya mgao wa mali.