Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,972
- 32,372
WANANCHI wanatakiwa kutobabaishwa na kauli zinazotolewa na viongozi wa Chadema kutokana na chama hicho kutokuwa na nguvu ya UMMA, na badala wajikite zaidi katika kuijenga nchi kwa mshikamano bilia kubagua itikadi za vyama.
Chadema wanatakiwa kushukuru angalau kwa kuambulia majimbo 23 kati ya majimbo 239, sasa wewe umepata majimbo 23 eti unataka upewe nchi aiwezekani kabisa, Watanzania hawa Wabunge wa viti Maalumu wa kupewa 25 ndio wanaleta matatizo yote haya ya Maandamano, Chadema kila mwezi wanapata 300 Milioni, kutokana na hawa Wabunge 25 wa kupewa ni mtaji wa Mandamano ndio maana Wabunge wenye majimbo ni vigumu sana kuona kwenye Maandamano yasio na tija yoyote kwa taifa.
Watanzania wenzangu tunapoteza pesa nyingi kutokana na hawa Wabunge viti maalumu Katiba mpya tupambane tutoe huu upuuzi wa Wabunge viti maalum, Chadema sijui watatoa wapi pesa za Maandamano na nchi yetu ni kubwa sana mpaka uimalize kwa Maandamano na Uchaguzi Mkuu utakuwa umefika, na ndio mwisho wa Chadema, badala wafanye mambo ya msingi wao Maandamano tu kila kikicha nchi aijengwi na Maandamano
Chadema wanatakiwa kushukuru angalau kwa kuambulia majimbo 23 kati ya majimbo 239, sasa wewe umepata majimbo 23 eti unataka upewe nchi aiwezekani kabisa, Watanzania hawa Wabunge wa viti Maalumu wa kupewa 25 ndio wanaleta matatizo yote haya ya Maandamano, Chadema kila mwezi wanapata 300 Milioni, kutokana na hawa Wabunge 25 wa kupewa ni mtaji wa Mandamano ndio maana Wabunge wenye majimbo ni vigumu sana kuona kwenye Maandamano yasio na tija yoyote kwa taifa.
Watanzania wenzangu tunapoteza pesa nyingi kutokana na hawa Wabunge viti maalumu Katiba mpya tupambane tutoe huu upuuzi wa Wabunge viti maalum, Chadema sijui watatoa wapi pesa za Maandamano na nchi yetu ni kubwa sana mpaka uimalize kwa Maandamano na Uchaguzi Mkuu utakuwa umefika, na ndio mwisho wa Chadema, badala wafanye mambo ya msingi wao Maandamano tu kila kikicha nchi aijengwi na Maandamano