Madame B nimeanza kumpigia kampeni kitambo...by the way...huyu cl alikuwa mpinzani wangu mwezi sept....nimpigieje kura?
mmh hilo penzi mbona masharti hivyo...au ndio mambo ya vigezo kuzingatiwa!!!
me ukishinda wewe bhaaaaas
aisee....... et ma-miss wanalongaMpe mpe huyo.
Kila Mtu na Mtuwe.
Miss mwenzangu,karibu Ubwabwa na Prawns wa nazi.
Tena Shosti siku hyo ni Mauno mwanzo,mwenga.
aisee....... et ma-miss wanalonga
Si itakuwa leo usiku kwa mijibu wa muuandaji,au vip
madame b
Mpe mpe huyo.
Kila Mtu na Mtuwe.
Miss mwenzangu,karibu Ubwabwa na Prawns wa nazi.
Nitafurahi sana, nikikuvisha taji wewe! I will be so happy!
Wala sasa bibie? Mie nishashiba kitambo ila nimetamani prawns.
Kesho watajibeba na shoo ya kufa mtu, ya kuwa walk kicat.
Nakumbusha tu,Muda wa mwisho kupiga kura ni saa tano kamili isiku ambapo dakika chace baadae mshindi atatangwazwa na zawadi kutolewa,hivyo basi tunaomba washiriki kutuambia mitandao watumiayo kati ta Vodacom,Tigo na Airtel ili zawadi ziandaliwe,pasipo kufanya hivyo italazimika mshindi kuchaguliwa mtandao na waendeshaji wa zoezi hili.Ahsanteni