Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
Ni kati ya [SIZE=4 [USER=80055]Madame B[/USER]
[/SIZE]na [SIZE=4 [USER=86898]charminglady[/USER]
[/SIZE] nani zaidi?
KUMBUKA
1. one member one vote
2. mwisho wa kura ni kesho saa tano kamili usiku
nawasilisha
UPDATES
Zawadi imeongezwa mshindi wa kwanza atapata vocha ya thamani ya elfu saba (Tshs 7,000) na wa pili atapata vocha ya thamani ya Tshs elfu tatu(Tshs 3,000/=)
Tunaomba washiriki wataje mitandao wanaoyotumia ili kuwaza kuwaandalia zawadi.waeleze kama wanatumia moja wapo kati ya mitandao hii tu, vodacom,Tigo,na Airtel
PIGA KURA NANI ZAIDI
USIKAE MBALI YAMEBAKI MASAA MACHACHE MAAANDALIZI YANAENDELEA
Hapa jukwaani kaisha ingia Miss chitchat wa mwezi Sept,Si mwingine Bali ni Miss Remmy akiwa na Tabasamu lake Tayali kwa Kumkabizi mikoba Miss wetu wa leo kwaajili ya Mwezi October
Lakini pia Muda si Mrefu washiriki wetu wanaochuana leo watawasili muda si mrefu hapa jukwaani nafasi zao ni kama zinavyoonekana hapa
UPDATE
Tunaomba washiriki wakae tayari kwani zimebakia Takribani dk 23 ili tufunge kupiga kura tufanye majumuisho ya kura na kutangaza mshindi samba na kuwapatia zawadi zao kwa njia ya PM
UPDATE
Zikiwa zimebaki dakika chache nawaleta warembo wetu kama ifuatavyo
Jumla ya kura zilizopigwa ni kura 37
Jumla ya kura halari ni 33
Jumla ya kura zilizo halibika ni kura 4
Jumla ya kura zilizopigwa kwa charminglady ni kura 7
Jumla ya kura zilizopigwa kwa Madame B ni kura 26
Hivyo nachua nafasi hii kumtangaza Madame B kuwa ndio mshindi na ndiye MISS CHITCHAT OCTOBER 2012
miss Remmy akabidhi Taji kwa miss Madame B
ZAWADI ZIMESHA KABIZIWA KWA WASHINDI,MNAOMBA KUDHIBITISHA HILI
KUMBUKA
1. one member one vote
2. mwisho wa kura ni kesho saa tano kamili usiku
nawasilisha
UPDATES
Zawadi imeongezwa mshindi wa kwanza atapata vocha ya thamani ya elfu saba (Tshs 7,000) na wa pili atapata vocha ya thamani ya Tshs elfu tatu(Tshs 3,000/=)
Tunaomba washiriki wataje mitandao wanaoyotumia ili kuwaza kuwaandalia zawadi.waeleze kama wanatumia moja wapo kati ya mitandao hii tu, vodacom,Tigo,na Airtel
PIGA KURA NANI ZAIDI
USIKAE MBALI YAMEBAKI MASAA MACHACHE MAAANDALIZI YANAENDELEA
Hapa jukwaani kaisha ingia Miss chitchat wa mwezi Sept,Si mwingine Bali ni Miss Remmy akiwa na Tabasamu lake Tayali kwa Kumkabizi mikoba Miss wetu wa leo kwaajili ya Mwezi October
Lakini pia Muda si Mrefu washiriki wetu wanaochuana leo watawasili muda si mrefu hapa jukwaani nafasi zao ni kama zinavyoonekana hapa
UPDATE
Tunaomba washiriki wakae tayari kwani zimebakia Takribani dk 23 ili tufunge kupiga kura tufanye majumuisho ya kura na kutangaza mshindi samba na kuwapatia zawadi zao kwa njia ya PM
UPDATE
Zikiwa zimebaki dakika chache nawaleta warembo wetu kama ifuatavyo
MATOKEO
Jumla ya kura zilizopigwa ni kura 37
Jumla ya kura halari ni 33
Jumla ya kura zilizo halibika ni kura 4
Jumla ya kura zilizopigwa kwa charminglady ni kura 7
Jumla ya kura zilizopigwa kwa Madame B ni kura 26
Hivyo nachua nafasi hii kumtangaza Madame B kuwa ndio mshindi na ndiye MISS CHITCHAT OCTOBER 2012
miss Remmy akabidhi Taji kwa miss Madame B
ZAWADI ZIMESHA KABIZIWA KWA WASHINDI,MNAOMBA KUDHIBITISHA HILI
Last edited by a moderator: