Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
- Thread starter
- #41
Washiriki hawataki kujipigia kura,....Hii inanipa wasiwasi
Madame B (wangu)
sa cjui nimchague nani mbona mchuano mgumu lol
Asante wangu.
Nikishinda nakuahidi kunogesha penzi letu,japo hata sasa liko gado.
wote wanastahili ila kura ndi hivyo tena, ni kwa mmoja tu
Take mine , Madame B
thank you,thank you sana..
kijana waijua ipasavyo kazi ya ku-manage kampeni...nitakupa kibarua katika harakati zangu hapo 2015
Thank you Shost.
mi kwakweli sijakupa kura yangu,kura yangu imekwenda moja kwa moja kwa nimpendaye nadhani unajua,na nakutakia ushindwe katika kinyanganyiro hiki
Asante sana Hubby wangu.
Naahidi nitakuwa nawe bega kwa bega sehemu zote.
madame B. mia
Madame B nimeanza kumpigia kampeni kitambo...by the way...huyu cl alikuwa mpinzani wangu mwezi sept....nimpigieje kura?