promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,707
- 931
Libwata kwa upande wangu haina nafasi na wala siamini kama kuna kitu kama hicho,nnacho amini ni mapenzi ya kweliJamani ndugu zanguni kuna ukweli wowote kuhusu limbwata coz kuna manjemba tunawashuhudia wababe kitaa ila wakifika kwa wake zao wanazechezea hadi vibao na hawasemi kitu
uwe na mapenzi ya kweli msikivu mnyenyekevu uwe na imani na mwenzio,kua muwazi nini unapenda na mweleze mwenzio nini anapenda,jitume unapokua faragha na usafi ndio jambo la kwanza....
ukiyaweza hayo mwache aende anakotaka atarudi japo kimnya kimnya sababu sio wote watakua kama wewe...........