Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanangu mpendwa hili litakuwa jambo la mwisho la kumwambia mtu afanye.
katika makuzi yangu nimeona wanaume na wanawake walioathirika na haya na ukweli nakuambia wapo ambao wamekuwa mataahira na wengine vilema kabisaa kwasababu ya kulishwa uchafu kama huu.
to me uchawi kwa mwanaume ni usafi wa mwanammke binafsi, heshima ya kweli ikiwa imebebwa kwenye nidhamu ya utu, upendo wa dhati na kujituma basi mengine yoote ni ujinga mtupu.
let me tell you hata kama mke atakosea akamcheat mumewe ila kama mume akipima na kukuta mkewe ni mtiifu anayoheshima yenye utu na upendo wa kweli pia ni muwajibikaji lazima mume ataangalia second side as kwann mke wangu ameni cheat na kama sababu ipo basi atatafuta njia ya kuiondoa kabisa.
ukisema mtu alaze nyama kumani siku 7 kisha sijui uiweke kwenye msosi ale baba ni ujinga, ukisema uoshee maji ke kisha upikie ni ujinga ukisema umchukue finnyofinyo umtie dawa umpe baba ndipo unamuharibu kabisaaa na kumfanya awe poyoyo na mlemavu wa mguu wa 3.
nimeyashuhudia haya tena siku wakina mama hawa wanaugama inakuwa ni aibu manake unakuta baba yuko kama hayupo.
ushirikina kwenye mapenzi sio kitu kizuri kabisa.
Usipomfanyia hayo Mpenzi/Mke wako, unatarajia nani amfanyie ? Unafahamu madhara yatakayokupata kama akifanyiwa hayo na mtu mwingine ? Kama kumfikiria Mpenzi wangu, kuijali familia, kutoka na Mpenzi/Mke wangu/Mume ni kulishwa limbwata, wacha tu nilihswe mimi.
Mi sipati picha.
likipatikana limbwata kali kuliko yote..nielekezeni namna ya kulipata...for future use..sio saa hii
Hakuna libwata duniani nijuavyo mimi...LIMBWATA ni wewe mwenyewe.
Naskia mwanamke atakapochukua kitu chochote kama mkate, kipande cha nyama nk akakigaragarisha kwenye kkuma yake basi akikupa na ukala ndio umekwisha apo husikii tena lolote utakuwa hujiwezi tena kwa yule mwanamke
Mi natakaNadhani kuna watu wameingiwa na uzungu sana hata wanasahau mila za kwao, unadhani kwa nini ndoa za zamani zilikuwa zinadumu sana?mje mtutafute wataalam tuwafanyie limbwata. Kama kuna msichana narudia msichana haamini kama kuna limbwata ani PM anipe details zake halafu atakuja kuwahadithia wenzake wanao bisha.