G12
Senior Member
- Aug 31, 2012
- 156
- 51
Mkuu G12 asante sana kinacho nichanganya hizo bei hatujui kama ni za juml ama reja reja maana nahitaji kama mbili hivz za bei ya kawaida harafu hizo bei ni kama za huko huko nje je kama nahitaji kununua on line inawezekana? Nifahamishe mkuu au nawezg kuzipata hapa hapa dar? Pamoja sana mkuu tusaidie nadhani tupo weng tunaohitaji asante.
Picha nyingine zimegoma ku attach, tuwasiliane kwa e-mail.