January songo
Member
- May 26, 2017
- 96
- 100
Nnazo kwa bei ya 300000 contact 0714417739Wakuu naomba kujuzwa juu ya bei ya jiko la umeme la kukaangia bisi (Popcorn machine)
Huku kwetu kuna jamaa anauza 400,000/- sasa je hii ndo bei yake kweli hasa kwa Dar es Salaam!?
Na kwa Dar nitazipata wapi.