Kuhani
JF-Expert Member
- Apr 2, 2008
- 2,944
- 64
Kuhani I guess here you owe some of us an apology...sayansi ya utabiri wa hali ya hewa ...kusema hauna kipimo ni kuwadhalilisha wataalamu waliokula buku - kuanzia meteorological assistants, meteorological officers hadi meteorologists - humo humo ndani wapo weather forecasters na weather analysts. Duh, umeniangusha Mkuu Kuhani lol.
Aaaaaa, hujanielewa Mkuu, nimesikitika na mimi pia.
Sikusema utabiri wa hali ya hewa ndio hauna vipimo, ila yule mchangiaji ndio niliona "anarusha rusha namba hewani kama utabiri wa hali ya hewa usio na vipimo," nikimaanisha kwamba yeye huyu ndio hatumii vipimo, kama Sheikh Yahya anaposema mwaka huu kutakuwa na ukame, au unaangalia juu unaona kiwingu kinene unasema mvua yaja, kiasi gani hujui, saa ngapi hujui, gueswork, you know. Ndio huo utabiri usio vipimo niliomaanisha.
Lakini kwa vile hukunielewa na hukufurahi, samahani Mag3.