Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Who the hell is Zitto? Lazima ajue watu humu wanadiscuss hoja, hawaangalii jina la mtu!eti anawafahamu watu wengi waliokuwa JF sasa wamejitoa..kamta ja Zitto mmojawapo
Who the hell is Zitto? Lazima ajue watu humu wanadiscuss hoja, hawaangalii jina la mtu!eti anawafahamu watu wengi waliokuwa JF sasa wamejitoa..kamta ja Zitto mmojawapo
amesema uwa ana soma coment za watu,anashangaa..eti anawafahamu watu wengi waliokuwa JF sasa wamejitoa..kamta ja Zitto mmojawapo
nasikia alikuwa anacopy na kupaste....
Whats goin on between mr. Erick shigongo and dr. Josee camelion?..details please
avue nguo tumjue si anataka tumjue,anasema katukanwa sana na wanajf, na hatumjui yeye ni nani??
Eti anaipenda Tanzania hadi kampa jila Tanzania mtoto wake wa kike...jamaa ana pumba mbaya.
Ha ha ha muda si muda utaona magazeti yake na title 'JF INAMILIKIWA NA FREEMASONS'.
Inawezekana hamjamuelewa huenda ni wa kijinga kwa wajinga nae huenda yupo kundi la wajinga!
anasema katukanwa sana na wanajf, na hatumjui yeye ni nani??
anatatutafutia ban tuachaneni naye.huyu Shigongo ni Problematically kweli halafu alivyo mnafiki anajifanya mlokole kumbe moja ya matapeli tu hapa mjini, na asije akajiona yeye ana akili nyingi kuliko wote na asitake kujifanya yeye ni mwerevu sana kumbe mnafiki tu, na kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake humu JF ili mradi havunji sheria, pumba zinazoandikwa kwenye mtandao wake zina tija gani katika maendeleo ya jamii ya kitanzania? zaidi ya kuwafirisi watu mawazo na kuwafanya wawe na dhiki ya akili..... Shigongo acha unafiki ndugu hata wakina mama rwakatare walileta chokochoko wamepoa sasa hivi na bora uendelee na mambo yako la sivyo watu watamwaga maovu yako hapa
Kaka huyu ni mwehu,kwanza anadai eti Members wa JF eti wana account nyingi nyingi,unajua nini? Ni rahisi tu.Huyu ni Expert wa UDAKU, sasa hapa JF watu wanaongea ukweli,wanafichua uozo,wanaanika Ukweli,sijui kati yake na Chamillion yupi yupo sahihi lakini kuita mtandao huu wa kijinga jinga hapo ameingiza udaku kwenye mambo ya Msingi.Shigongo kiwa makini na Matamshi yako.kuna hawa unaowaita wajinga na wanunuaji wa Magazeti yako,au na wewe huhitaji wao wanunue mahazeti yako kama alivyoongea mkubwa wa Kaya kwa Waalimu?