TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 1,816
- 5,151
Leo nimeona niwatambue hawa jamaa wanaoendelea kutuburudisha na kutupunguzia misongo kule kwenye jukwaa la Entertainment kwa simulizi zao za moto kweli kweli.Hawa nitakaowaorodhesha hapa kwa upande wangu ndiyo wababe wa lile Jukwaa.
Hawa nitakao wataja hapa nimewaita wababe kwasababu wanazo simulizi kuanzia mbili na kuendelea na zote zikiwa za moto
1. SteveMollel
Huyu jamaa anazo simulizi kadhaa ambazo zimeendelea kukonga nyoyo za wasomaji,miongoni mwa simulizi hizo ni hapa
Tukibaki Hai, Tutasimulia
Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku
Nyuma yako
Roho yake inadai
Baradhuli mwenye mikono ya chuma
Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu
2. Jack Daniel
Huyu jamaa nae anazo simulizi kadhaa ambazo zimefanya na zinaendelea kufanya vizuri huko kwenye Jukwa la Entertainment,zake ni hizi hapa
Milango ya mafanikio
Mimi na Boss Wangu
Nilinusurika kuchomwa moto
Pombe na ilivyosababisha nikaikosa nyumba
3. leadermoe
Huyu jamaa yeye pia amejitahidi kukonga nyoyo za hadhira yake kwa simulizi zake za kweli kali na zilizoenda shule.Baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
Wema ni akiba, usiache kutenda wema
Nilivyookoa maisha ya Watalii toka Finland
4. Analyse
Huyu jamaa yeye pia amekuwa na simulizi kadhaa ambazo zimeendelea kujizolea umaarufu huko kwenye jukwaa la Entertainment,amekuwa akikonga nyoyo za wadau na kuzisuuza roho za wadau wenye misongo.Simulizi zake ni hizi.
Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...
Fumanizi la mama mwenye nyumba
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
5. JBourne59
Huyu jamaa simulizi zake zitakufanya ukae chini ushike tama kisha unyanyuke ushike kiuno,hii yote ni utamu tu wa simulizi zake ambazo hazichoshi kusoma.Baadhi ya simulizi zake ni hizi
Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
Hatimaye nipo huru
Hekaheka Uzeeni
6. UMUGHAKA
Huyu jamaa apewe maua yake,nimejaribu kupitia simulizi za huyu jamaa kiukweli anajua hadi anajua tena,yeye husema ni Bodaboda ila siamini kama kweli ndiyo kazi anayoifanya.Kitu nilichokipenda kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba simulizi zake ni halisi na zinahusu maisha yake.Baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani
Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo
7. Jose Author
Huyu jamaa yeye kwasasa pale kwenye jukwaa la Entertainment naweza sema ndiye mwenye mji wake,ameendelea kujizolea kijiji chake na anaendelea kukimbia nacho,hakika jamaa anajua hadi kapitiliza,baadhi ya simulizi zake ni hizi
Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua
Duduke
Mwenzi wa Maisha yangu
NImeolewa na nani?
NILIOA MKE WA PILI KUMBE JINI
ZAMDA
8. FEBIANI BABUYA
Huyu jamaa pia amekuwa mmoja wa wasimuliaji bora kabisa katika jukwaa la simulizi,ukiwa na msongo bila shaka kwa huyu jamaa utapata tiba ya kiakili ingawaje simulizi zake nyingi nizakubuni,baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
I want to die a judge
Ulimwengu wa Watu Wabaya
Gereza la Hazwa
Innocent Killer
Naweza sema hawa ndiyo majemedari huko kwenye Jukwaa la Entertainment,hawa jamaa simulizi zao ni kuanzia mbili na kuendelea na pia ni za moto,sijawajumuisha waandishi wengine kwasababu wengi unakuta anako kastori kamoja ambako kamevuma kama upepo kisha akala kona.
Sasa kwa mtazamo wako mwana JF uliyebahatika kusoma mikito ya hawa jamaa unadhani nani anastahili kuwa THE ENTERTAINMENT THREAD KING?
Shusha comment yako hapo chini ikiwezekana mtag kabisa KING ili afahamu yeye ni KING
ANGALIZO : Upangaji huu ni holela si kwamba aliyeko namba moja ni bora kuliko wa mwisho,ubora wa simulizi za wahusika ndiyo iwe chanzo cha kuitwa KING
Hawa nitakao wataja hapa nimewaita wababe kwasababu wanazo simulizi kuanzia mbili na kuendelea na zote zikiwa za moto
1. SteveMollel
Huyu jamaa anazo simulizi kadhaa ambazo zimeendelea kukonga nyoyo za wasomaji,miongoni mwa simulizi hizo ni hapa
Tukibaki Hai, Tutasimulia
Anga la washenzi na Joana anaona kitu usiku
Nyuma yako
Roho yake inadai
Baradhuli mwenye mikono ya chuma
Niliweka shada za maua kwenye makaburi matano ya watu wangu wa karibu
2. Jack Daniel
Huyu jamaa nae anazo simulizi kadhaa ambazo zimefanya na zinaendelea kufanya vizuri huko kwenye Jukwa la Entertainment,zake ni hizi hapa
Milango ya mafanikio
Mimi na Boss Wangu
Nilinusurika kuchomwa moto
Pombe na ilivyosababisha nikaikosa nyumba
3. leadermoe
Huyu jamaa yeye pia amejitahidi kukonga nyoyo za hadhira yake kwa simulizi zake za kweli kali na zilizoenda shule.Baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
Wema ni akiba, usiache kutenda wema
Nilivyookoa maisha ya Watalii toka Finland
4. Analyse
Huyu jamaa yeye pia amekuwa na simulizi kadhaa ambazo zimeendelea kujizolea umaarufu huko kwenye jukwaa la Entertainment,amekuwa akikonga nyoyo za wadau na kuzisuuza roho za wadau wenye misongo.Simulizi zake ni hizi.
Naitwa Analyse, na hii ndio safari yangu ya maisha...
Fumanizi la mama mwenye nyumba
Sijawahi kujutia kwenye maisha yangu, mpaka siku niliyokutana na yule Mzee
5. JBourne59
Huyu jamaa simulizi zake zitakufanya ukae chini ushike tama kisha unyanyuke ushike kiuno,hii yote ni utamu tu wa simulizi zake ambazo hazichoshi kusoma.Baadhi ya simulizi zake ni hizi
Uhusiano wangu kimapenzi na "Hamida"
Hatimaye nipo huru
Hekaheka Uzeeni
6. UMUGHAKA
Huyu jamaa apewe maua yake,nimejaribu kupitia simulizi za huyu jamaa kiukweli anajua hadi anajua tena,yeye husema ni Bodaboda ila siamini kama kweli ndiyo kazi anayoifanya.Kitu nilichokipenda kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba simulizi zake ni halisi na zinahusu maisha yake.Baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe
Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani
Namna Watanzania wanavyotapeliwa na Waganga wa Kienyeji nchini Kongo
7. Jose Author
Huyu jamaa yeye kwasasa pale kwenye jukwaa la Entertainment naweza sema ndiye mwenye mji wake,ameendelea kujizolea kijiji chake na anaendelea kukimbia nacho,hakika jamaa anajua hadi kapitiliza,baadhi ya simulizi zake ni hizi
Wakati najiuza niliwafanyisha watu mapenzi na fisi bila ya wao kujua
Duduke
Mwenzi wa Maisha yangu
NImeolewa na nani?
NILIOA MKE WA PILI KUMBE JINI
ZAMDA
8. FEBIANI BABUYA
Huyu jamaa pia amekuwa mmoja wa wasimuliaji bora kabisa katika jukwaa la simulizi,ukiwa na msongo bila shaka kwa huyu jamaa utapata tiba ya kiakili ingawaje simulizi zake nyingi nizakubuni,baadhi ya simulizi zake ni hizi hapa
I want to die a judge
Ulimwengu wa Watu Wabaya
Gereza la Hazwa
Innocent Killer
Naweza sema hawa ndiyo majemedari huko kwenye Jukwaa la Entertainment,hawa jamaa simulizi zao ni kuanzia mbili na kuendelea na pia ni za moto,sijawajumuisha waandishi wengine kwasababu wengi unakuta anako kastori kamoja ambako kamevuma kama upepo kisha akala kona.
Sasa kwa mtazamo wako mwana JF uliyebahatika kusoma mikito ya hawa jamaa unadhani nani anastahili kuwa THE ENTERTAINMENT THREAD KING?
Shusha comment yako hapo chini ikiwezekana mtag kabisa KING ili afahamu yeye ni KING
ANGALIZO : Upangaji huu ni holela si kwamba aliyeko namba moja ni bora kuliko wa mwisho,ubora wa simulizi za wahusika ndiyo iwe chanzo cha kuitwa KING