Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Akihojiwa na watoto wa Five connetc EATV, kuhusu issue yake na Chameleon wa Uganda, amesema comment za JF hazimnyimi usingizi coz ni Mtandao wa kijingkijinga...
Unaweza kuihukumu JF na watumiaji wake baada ya kusoma kilichomkera Shigongo kwenye hoja hizi chini:
Ref:
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/290414-erick-shigongo-atiwa-kizuizini.html
&
https://www.jamiiforums.com/celebri...wa-kuondoka-nchini-na-shigongo-kisa-deni.html
&
https://www.jamiiforums.com/celebri...gongo-na-dr-jose-chameleone-sasa-imeanza.html
Nimemsikiliza Eric Shigongo kupitia Channel 5.
Ukweli upeo wake ni finyu sana maana kauli alizotoa ni tata, mtu mzima hawezi kuongea hivyo. Anasema Wakenya na Waganda wanatudharau sana Watanzania. Pia anasema watanzania wengi ni wajinga ndio maana wanamponda kupitia JF.
Hoja aliyokuwa anaongelea na kuwahusisha waTZ wote ni mtafaruku wake binafsi na Jose Chameleone. Ukweli kaongea pumba tupu, hakuna punje hata moja. Anajenga chuki baina ya mataifa mawili. Nimejua ni kwa nini yeye ni mkurugenzi wa udaku na up upu Tz.
Afrika Mashariki tunapendana, yeye atabaki na chuki zake binafsi !
Shigongo ametajirika kupitia blackmailing business, tunajua sana wala hana cha kujisifu.
Unaweza kuihukumu JF na watumiaji wake baada ya kusoma kilichomkera Shigongo kwenye hoja hizi chini:
Ref:
https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/290414-erick-shigongo-atiwa-kizuizini.html
&
https://www.jamiiforums.com/celebri...wa-kuondoka-nchini-na-shigongo-kisa-deni.html
&
https://www.jamiiforums.com/celebri...gongo-na-dr-jose-chameleone-sasa-imeanza.html