Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
Si aibu kwake kibonde!! yule jamaa hana maana wala nin! ndo sababu hakuwahi kusikika hata siku moja akiwapa moyoowagombea vijana wa upinzani kama akina mnyika, sugu, lema, joshua n.k
Sasa aponde basi kua wananchi wa mbea mjini hawafai kuwa wapiga kura!!