Mvina
JF-Expert Member
- Aug 2, 2009
- 998
- 34
Lakini kama ameshatuahidi watazamaji kuwa hataingia kwenye mahusiano akiingia tutamuona anakigeugeu. Alafu jambo la pili huwezi kujua upepo unaendaje nje, sio sawa na Bongo Star Search kwani unakuwa unaona Hadhira (wapiga kura wanataka nini), BBA ukishaingia ndani ya nyumba huoni nje wanataka nini, kwahiyo unatakiwa kuingia tayari na strategy.
Najua kwamba kama hv ameishazama ndani hawezi kujua nn nje watu wanataka lakini kuna tu ile kuone ndana ya lile jumba yeye kama yeye ajipange vp.Na kusema kwamba hataliweka mbele suala la malovee hiyo cyo sheria kwamba akiengage atakuwa amevunja.