issue ni kuwa wote wanauchezea mwili wake iwe bure au kwa kuchunwa. Siku zote mwanamke ndio looser bse ana not more tha 5 years to shine. Gegeda tupa kule.
mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe tehe
hao ndo madem wa mjini,mfano unaweza ukamnunulia mpenzi wako nguo ya ndani aka kufuli lakini kuna mwanaume mwenzako anamvua hiyo kufuli aliyoivaa na kula mzigo kiulaini bila kugharamia hata senti tano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.