Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Mazingira hayazungumzi bali mtu ndiye huyatafsiri, wakati mwingine mtu huyasoma mazingira isivyo.
Nani amekuambia mazingira hayasemi?
Mazingira hayazungumzi bali mtu ndiye huyatafsiri, wakati mwingine mtu huyasoma mazingira isivyo.
Kuna mtu hapo anachukua mzigo kiulaini with no cost na viwanja vyote wanakwenda hana zaidi ya neno nakupenda na kumsaidia kubeba handbag na kumsifia hapa na pale bila kusahau kumpigia simu mara kwa mara wakati wengine wanazama kwenye ATM kila kukicha lakini ndio hivyo mifuko imetofautiana maana unaweza kukuta mtu amehonga nyumba ukamcheka kumbe mwenzako ametoa asilimia 3 ya kipato chake na yule aliyeonga laki moja ukaona ndogo kumbe ametoa 80% ya kipato chake cha siku 20 hapo kimahesabu alietoa nyingi ni wa laki moja maana ana kazi ya ziada kutafuta hela ya kufidia.
mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe teheLeo wakati natoka kwenye mihangaiko yangu,kama kawaida barabara za mjini zinauhusiano mzuri sana na foleni,wakati tupo kwenye foleni kuna gari kama latatu mbele yetu lilikuwa limezimika katikati ya barabara,aliyekuwa anaendesha gari hiyo ni binti mmoja mrembo,bila kuomba msaada alibaki ndani ya gari na kuanza kupiga simu,hata hivyo kulikuwa hamna usumbufu kwetu kwasababu hata hiyo foleni ilikuwa haisogei,mara wakatokea vijana wawili wakaja kuisukuma ile gari ili kuiweka pembezoni mwa barabara,yule dada hakutoa shukrani wala kuongea nao chochote,zaidi ya kuendelea kupiga simu tuu,wale vijana walipoondoka yule dada akashuka akiwa ametilia kimini cha hatari na kufungua boneti kisha kufunga bila kufanya chochote,akaingia tena ndani ya gari na kuendelea kupiga simu.Mara ikatokea AUDI nyeusi akashuka mwanaume mmoja mtanashati mkononi anagalon la mafuta la lita tano wakaweka yale mafuta kisha yule dada akaiwasha ile gari kama anataka kuondoka na yule jamaa ambaye alionekana kama ni mume au mpenzi wake akaondoka,lakini cha kushangaza nikwamba yule mwanamke alilizima gari nakuendeleaa kukaa pale pale,haukupita muda mrefu ikaja prado akashuka mwanaume mwingine huku akiwa amebeba galon kama yule wa mara ya kwanza,yule mwanamke akafanya vilevile,jamaa akaondoka mwanamke akazima gari na kuendelea kubaki hapo hapo,kitu ambacho kilinishangaza ni kwamba lilikuja Mercedes benzi na mbaba mmoja naye akashuka na galon ya mafuta akamuongezea kisha akampa yule mwanamke kitu mkononi bila shaka ni hela kisha jamaa akaondoka,na yule dada naye akaingia ndani ya gari na kuondoka,hii ni kitu iliyotokea jioni ya leo maeneo ya kinondoni karibu na Hugo Bar!!Sasa huyu mwanamke inaelekea muda wote aliokuwa anaongea na simu alikuwa anamdanganya mmoja mmoja kuwa ameishiwa mafuta mpaka mwisho ametoka na lita kumi na tano,duu wanawake wa mjini hawafai,na unaweza kukuta hapo alikuwa na appointment na mwanaume mwingine!!!!
Nimeipenda sana logic yako, imenifariji sana!! lol
aisee-wanawake wa mjini wengine taabu tupuLeo wakati natoka kwenye mihangaiko yangu,kama kawaida barabara za mjini zinauhusiano mzuri sana na foleni,wakati tupo kwenye foleni kuna gari kama latatu mbele yetu lilikuwa limezimika katikati ya barabara,aliyekuwa anaendesha gari hiyo ni binti mmoja mrembo,bila kuomba msaada alibaki ndani ya gari na kuanza kupiga simu,hata hivyo kulikuwa hamna usumbufu kwetu kwasababu hata hiyo foleni ilikuwa haisogei,mara wakatokea vijana wawili wakaja kuisukuma ile gari ili kuiweka pembezoni mwa barabara,yule dada hakutoa shukrani wala kuongea nao chochote,zaidi ya kuendelea kupiga simu tuu,wale vijana walipoondoka yule dada akashuka akiwa ametilia kimini cha hatari na kufungua boneti kisha kufunga bila kufanya chochote,akaingia tena ndani ya gari na kuendelea kupiga simu.Mara ikatokea AUDI nyeusi akashuka mwanaume mmoja mtanashati mkononi anagalon la mafuta la lita tano wakaweka yale mafuta kisha yule dada akaiwasha ile gari kama anataka kuondoka na yule jamaa ambaye alionekana kama ni mume au mpenzi wake akaondoka,lakini cha kushangaza nikwamba yule mwanamke alilizima gari nakuendeleaa kukaa pale pale,haukupita muda mrefu ikaja prado akashuka mwanaume mwingine huku akiwa amebeba galon kama yule wa mara ya kwanza,yule mwanamke akafanya vilevile,jamaa akaondoka mwanamke akazima gari na kuendelea kubaki hapo hapo,kitu ambacho kilinishangaza ni kwamba lilikuja Mercedes benzi na mbaba mmoja naye akashuka na galon ya mafuta akamuongezea kisha akampa yule mwanamke kitu mkononi bila shaka ni hela kisha jamaa akaondoka,na yule dada naye akaingia ndani ya gari na kuondoka,hii ni kitu iliyotokea jioni ya leo maeneo ya kinondoni karibu na Hugo Bar!!Sasa huyu mwanamke inaelekea muda wote aliokuwa anaongea na simu alikuwa anamdanganya mmoja mmoja kuwa ameishiwa mafuta mpaka mwisho ametoka na lita kumi na tano,duu wanawake wa mjini hawafai,na unaweza kukuta hapo alikuwa na appointment na mwanaume mwingine!!!!
Story ya kutunga! "..magari hayasogei,.. kuikaja Aud..ikaja prado..ikaja benz.." ungeniambia ulikua nje ya folen unashuhudia angalau kidogo ungeeleweka japo nayo ingetia shaka kwani kwa hali halisi ya folen ya dar, kuwaita watu 3 toka sehemu tofauti wakaja inachukua muda mrefu
mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe tehe
Aaa,mimi nilikuwa nimeshafika kama unapajua hiyo sehemu ina car wash inatizamana na hugo,ndio nilikuwa nimekaa na washkaji tukiangalia huo mchezo!!mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe tehe
Foleni ilikuwainaendelea kutembea but mimi nilishuka hapo mwembeni na kunadereva tax mmoja nilikuwa naongea naye pale kwenye car wash hukutukiushuhudia huo mchezo!!Kama mnamjua mtuyeyote ambaye ni dereva taxi wa pale mwembeni muulizeni hilo tukio limetokea juzi ijumaa majara ya saa kumi na moja hivi!!!Mwenyewe nimeshtuka kidogo maana hiyo foleni ya Kinondoni Road kuelekea Manyanya huwa haigandi kiviile. Unless mshikaji alikuwa amepoa sehemu anafuatilia hilo muvi.
ukiishiwa tena luku
ni pm lol
lita 10 na tano za mafuta ni Tshs ngapi? huko ni kujidhalilisha fo sho.
Halafu na wewe mleta habari, kama foleni ilikuwa haisogei, je hao waleta mafuta waliwezaje kufika hapo ilhali nyie mmeganda mnatizama movie ya mlimbwende?
wajinga ndio waliwao (hana akili aziniye na mwanamke )
mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe tehe
mchajikobe stori hii ni ya kutunga japokuwa nimeipenda, hao jamaa walipita njia gani wakati nyie foleni yenu haiendi lakini wao wanafika na vidumu vya lita 5 kila mmoja nyie mpo tu tehe tehe tehe