Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Sitakutumia tena hela ukiniambia una shida,kumbe ndo ka mchezo kakoeeeeh!!
Ayii wewe, unapohitaji rescue ni lazima utegemee zaidi ya mtu mmoja maana waweza kuwa kwenye Mazingira ambayo ni ngumu kunirescue.
Sasa nikimuomba kaka yangu KIKUNGU kuna ubaya gani, wakati unajua ni kaka yangu!
Last edited by a moderator: