Duu,wanawake wa mjini noooomaaaaaa!!!

Tutafika, nakubaliana na wewe! Sasa kupiga mzinga 5lts za petrol mtu anaendesha audi? Haiingii akilini aisee! Manake sms tu ya 'darling nimeishiwa, sijui hata kama mafuta yatanifikisha home' ingetosha kuhusisha mpesa (kwa yule mwenye suzuki) ama sms banking kwa wenye audi na prado,lol!

Mnatafuta kutusakama tu! Hata sie tunahonga wapenzi wetu sana tu, lakini hatulalamiki! Mtoa mada wakaka hata wakichangishwa 11,000 tu kila mmoja wewe unalalamika! Kha!
King,ninavyomjua mwanamke,ole wako akusaidie kitu siku mkikosana hata kama aliwahi kumnunulia mama yako pea ya khanga atakusimanga nayo tu.
King when it comes to giving mwanamke na mwanaume ni viumbe wawili tofauti kabisa,sisi we always give give and give,ile nyie dah!
 
Last edited by a moderator:
Nilishaishiwa luku nikaomba watu kama watano, ndugu, mpenzi na coleages!
What if wengine ni kaka zake?
 
Nilishaishiwa luku nikaomba watu kama watano, ndugu, mpenzi na coleages!
What if wengine ni kaka zake?

Sitakutumia tena hela ukiniambia una shida,kumbe ndo ka mchezo kakoeeeeh!!
 
Leo wakati natoka kwenye mihangaiko yangu,kama kawaida barabara za mjini zinauhusiano mzuri sana na foleni,wakati tupo kwenye foleni kuna gari kama latatu mbele yetu lilikuwa limezimika katikati ya barabara,aliyekuwa anaendesha gari hiyo ni binti mmoja mrembo,bila kuomba msaada alibaki ndani ya gari na kuanza kupiga simu,hata hivyo kulikuwa hamna usumbufu kwetu kwasababu hata hiyo foleni ilikuwa haisogei,mara wakatokea vijana wawili wakaja kuisukuma ile gari ili kuiweka pembezoni mwa barabara,yule dada hakutoa shukrani wala kuongea nao chochote,zaidi ya kuendelea kupiga simu tuu,wale vijana walipoondoka yule dada akashuka akiwa ametilia kimini cha hatari na kufungua boneti kisha kufunga bila kufanya chochote,akaingia tena ndani ya gari na kuendelea kupiga simu.Mara ikatokea AUDI nyeusi akashuka mwanaume mmoja mtanashati mkononi anagalon la mafuta la lita tano wakaweka yale mafuta kisha yule dada akaiwasha ile gari kama anataka kuondoka na yule jamaa ambaye alionekana kama ni mume au mpenzi wake akaondoka,lakini cha kushangaza nikwamba yule mwanamke alilizima gari nakuendeleaa kukaa pale pale,haukupita muda mrefu ikaja prado akashuka mwanaume mwingine huku akiwa amebeba galon kama yule wa mara ya kwanza,yule mwanamke akafanya vilevile,jamaa akaondoka mwanamke akazima gari na kuendelea kubaki hapo hapo,kitu ambacho kilinishangaza ni kwamba lilikuja Mercedes benzi na mbaba mmoja naye akashuka na galon ya mafuta akamuongezea kisha akampa yule mwanamke kitu mkononi bila shaka ni hela kisha jamaa akaondoka,na yule dada naye akaingia ndani ya gari na kuondoka,hii ni kitu iliyotokea jioni ya leo maeneo ya kinondoni karibu na Hugo Bar!!Sasa huyu mwanamke inaelekea muda wote aliokuwa anaongea na simu alikuwa anamdanganya mmoja mmoja kuwa ameishiwa mafuta mpaka mwisho ametoka na lita kumi na tano,duu wanawake wa mjini hawafai,na unaweza kukuta hapo alikuwa na appointment na mwanaume mwingine!!!!


Jiulize, TUKO WANGAPI???. Chukua hatua
 
lita 10 na tano za mafuta ni Tshs ngapi? huko ni kujidhalilisha fo sho.

Halafu na wewe mleta habari, kama foleni ilikuwa haisogei, je hao waleta mafuta waliwezaje kufika hapo ilhali nyie mmeganda mnatizama movie ya mlimbwende?
 
kwani tatizo ninini? kwanza sh almost ni kama 11200/= kweli inawatoa jasho na kuwafanya mpoteze muda kudiscuss.

wewe unapiga mznga ama unahongwa sh ngapi na madem zako? mbona siye huwa tunahonga sana tu?mbona hatulalamik? naboreka sana pale tunaposakamwa kwa mtu kuhongwa sh 33600/=na wanaume 3 tofauti na pia naona kma ni kweli bint hajui technique manake just an sms moja ya " hny ma dearest love you so much., ma gas tank is drained and i dont have enough banks sweetie" yaani in afraction of a minute lazima mpesa oe crdb cardless ma nmb pesa fasta ingehusu.

Mtoa uzi nadhani hapo kwenye bold ndio kilichomsukuma kuandika, sidhani kumpa mpenzi wako 33,600 ni kumhonga hapo jamaa wametelekeza majukumu yao na kila mtu anajijua kwamba yupo mwenyewe. Kuhonga ni pale mtu anapokuwa yupo real kwa mpenzi wake yaani uwezo wako ni 20,000 unampa mrembo 60,000 ili kumridhisha nafsi yake wakati hapo ulitakiwa kumwambia ukweli.
 
Kusimanga ndo asili ya mwanamke, huwa tunajizuia tu kutamka mpaka tuwe tumewachoka kabisa. Yaani hata wewe ukiwa umerudi usiku wa manane, asubuhi mkeo akikuangalia anakumbuka jinsi alipokupenda ukiwa na mashati mawili na pea moja ya kiatu (tena cha plastic). Saa hizi unavaa designer leather boots unajiona mjaanja! Heeh, nshaanza kusimanga!

Point is, kuhonga hata sie tunahonga! Mbona wanaume wanaochukua vyao wakiachana nao wapo?

BAK, njoo best uniwekee ile 'kanunua simu kampa demu walipoachana, kampokonyaaa!'. Natanguliza shukrani.
King,ninavyomjua mwanamke,ole wako akusaidie kitu siku mkikosana hata kama aliwahi kumnunulia mama yako pea ya khanga atakusimanga nayo tu.
King when it comes to giving mwanamke na mwanaume ni viumbe wawili tofauti kabisa,sisi we always give give and give,ile nyie dah!
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume akipanga wanawake foleni kuanzia posta mpaka bagamoyo mnaona sawa tuu tena mnamuona kidume, huyo dada kuwapanga hao watatu imekuwa kesi...! Kila mtu ana uhuru wa kuishi maisha yake..!
 
Kusimanga ndo asili ya mwanamke, huwa tunajizuia tu kutamka mpaka tuwe tumewachoka kabisa. Yaani hata wewe ukiwa umerudi usiku wa manane, asubuhi mkeo akikuangalia anakumbuka jinsi alipokupenda ukiwa na mashati mawili na pea moja ya kiatu (tena cha plastic). Saa hizi unavaa designer leather boots unajiona mjaanja! Heeh, nshaanza kusimanga!

Point is, kuhonga hata sie tunahonga! Mbona wanaume wanaochukua vyao wakiachana nao wapo?

BAK, njoo best uniwekee ile 'kanunua simu kampa demu walipoachana, kampokonyaaa!'. Natanguliza shukrani.
Asili ya kuhonga si yenu,ni siku hizi tu mmeanza kununua vivulana,na vinawasumbua kweli mpaka inatia huruma.
 
Last edited by a moderator:
Nilishaishiwa luku nikaomba watu kama watano, ndugu, mpenzi na coleages!
What if wengine ni kaka zake?

Huenda kweli au yote kweli maana unapokuwa observer unaweza sema huyo malaya kumbe unapopata tatizo unaweza kupiga simu kwa watu wanne tofauti wakusaidie na wote waka-respond ukute alivyokuja wa kwanza akamweleza ukweli kuna jamaa mwingine amekuja.
 
Back
Top Bottom