Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
King,ninavyomjua mwanamke,ole wako akusaidie kitu siku mkikosana hata kama aliwahi kumnunulia mama yako pea ya khanga atakusimanga nayo tu.Tutafika, nakubaliana na wewe! Sasa kupiga mzinga 5lts za petrol mtu anaendesha audi? Haiingii akilini aisee! Manake sms tu ya 'darling nimeishiwa, sijui hata kama mafuta yatanifikisha home' ingetosha kuhusisha mpesa (kwa yule mwenye suzuki) ama sms banking kwa wenye audi na prado,lol!
Mnatafuta kutusakama tu! Hata sie tunahonga wapenzi wetu sana tu, lakini hatulalamiki! Mtoa mada wakaka hata wakichangishwa 11,000 tu kila mmoja wewe unalalamika! Kha!
King when it comes to giving mwanamke na mwanaume ni viumbe wawili tofauti kabisa,sisi we always give give and give,ile nyie dah!
Last edited by a moderator: