Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
niambie na mimi nipajue, jasti in kesi..
orait orait....in kesi asipotokea au....
niambie na mimi nipajue, jasti in kesi..
Khaaa, jamani preta mbaya kweli...kumbe kayapeleka kwa mtu chake? Ole wake nimkamate..Kuna Mashuka alipita nayo hapa kaniringishia eti amemnunulia Mtu Chake, kumbe ulimtuma aniletee mimi?
Kweli shem..No ! Ameingia mchana, aliniaga akitoka job atapitia saloon, kuboresha nywele, hata hivyo nafikiria niwe nampeleka mwenyewe, hii ya man alone mwisho leo!
Hii mida si unajua tena !
Ndo mida ya kucheza bao la kete !
Uongo Shem ?
Khaaa, jamani preta mbaya kweli...kumbe kayapeleka kwa mtu chake? Ole wake nimkamate..
Usijali ntakupitishia shati na sarawili kesho asubuhi na mapema!
Kweli shem..
Uwe unampeleka bana shemeji, dunia yako chaguo lako chagua kumpeleka mkeo saluni na kumsubiri mpaka amalize kutengeneza nywele!..
mambo poa Canta, Rejao pua ndefu hajambo?
Canta!
Sijakutia machoni masiku mob !
Mazee Rejao ako poa ?
Na Manzi yangu akikuja hapa sukumia yeye magriting!
Papa rejao hajambo kbs,kapumzika anajianda kupata cha ucku hapa!
Watu mbona mnapenda sana kumsumbua my wife? ebooo!!mie mzima,ni kweli nimedimika kidogo,c unajua mimba changa inavosumbua!papa rejao mme wangu hajambo kbs,ucjali nikimuona mkeo nitampa hai!
Preta yaani Preta si wa kumwamini tena. Naingojea hiyo sarawili kwa hamu. Fanya ovasaizi kabisa ili hutu tumwili tukiongezeka panapo Pasaka nisiingie hasara kununua nyingine.
why why why why......
Ivi Ivuga alienda wapi baada ya kutuaga?
Kuna mtu ana habari zake?
Ivi Ivuga alienda wapi baada ya kutuaga?
Kuna mtu ana habari zake?
umeanza kuhonga suruwali za pasaka?...mh...
TANMO ni mchonganishi bebii....usimsikilize....
aisee huyo mtu yupo kweli.
Kuna siku alianzisha thread ya kusema atapotea miezi 9.hivi Mwali inawezekana bebii yako hujui alipo?