samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Mwaka 2012 chagua kudai haki yako na kulinda raslimali za taifa zisiporwe na wahuni wachache kwa manufaa yao binafsi. Mtanzania unapaswa kufunguka na kutoka kwenye chupa. Haki ya mtu haiombwi bali inadaiwa na kupiganiwa ili mradi amani itawale. Epuka uoga ambao hauna manufaa kwa taifa lako.