Vancomycin
Senior Member
- Jan 7, 2011
- 171
- 111
Mwenyekiti wa kamati ya kuratibu mgomo wa madaktari yuko live star tv kuzungumzia mgomo wa madaktari na mgogoro uliopo
Wakuu sasa hivi dr Ulimboka anaongelea mgomo wa madaktari sababu zake na madhara yake, JAMANI FATILIENI MAZUNGUMZO HAYA.
Siku hizi umeme ni ghali, kwa hivyo tunawasha Tv. kuangalia vipindi muhimu tu zikiwemo taarifa za habari. Hao wachochezi na wauwaji tumeiachia Serikali iwashughulikie.Wenye access na TV angalieni Star TV Mwenye kiti wa kamati ya muda ya kuratibu mgomo wa madaktari anaongea star tv.
arifu huyu ni DR shujaa kiongozi wa madaktari wanaodai haki zao...Huyo Dr. ana cheo gani serikalini?
Siku hizi umeme ni ghali, kwa hivyo tunawasha Tv. kuangalia vipindi muhimu tu zikiwemo taarifa za habari. Hao wachochezi na wauwaji tumeiachia Serikali iwashughulikie.
Na pinda alikuwa anajua kuwa maDOC hawakupata taarifa so hawtakuja ila kuonyesha kuwa hashirikishi akili akatumia gharama za ving'ora na mafuta kwenda kwenye mkutano..anasema wao walikua wanania ya kukutana na waziri mkuu na yeye mwenyewe alimpelekea waziri mkuu barua nyumbani kwake kumwomba wakutane jumatatu badala ya jumapili kwani ombi la waziri mkuu la kukutana nao jumapili lililetwa jioni na madaktari mengi hawakupata taarifa.