Dr. Ulimboka live star tv: Afafanua Wizara ilivyosababisha Mgomo

Siku hizi umeme ni ghali, kwa hivyo tunawasha Tv. kuangalia vipindi muhimu tu zikiwemo taarifa za habari. Hao wachochezi na wauwaji tumeiachia Serikali iwashughulikie.
Nani ni muuaji kati ya madoctor na serikali?we utakuwa kibaraka
 
Siku hizi umeme ni ghali, kwa hivyo tunawasha Tv. kuangalia vipindi muhimu tu zikiwemo taarifa za habari. Hao wachochezi na wauwaji tumeiachia Serikali iwashughulikie.

Siamini comment kama hii inatokea kwa JF Senior Expert Member.....Seniority iko wapi kama huwezi kutofautisha umuhimu wa Daktari na msanii au mpiga debe?........Expert gani kama huwezi kuonyesha uwezo wa akili yako kupambanua kazi ngumu na muhimu za daktari kwa jamii hata umlinganishe na hata mwanasiasa anayeweza tinga bungeni Dodoma hata kama ni ''profesa'' wa mazingaombwe. Na hii serikali unayoikabidhi iwashughulikie sijui kama inauelewa mpana wa fani muhimu kama za madaktari au mainjinia!!!!. Nakupa pole jitahidi urudi darasani ukaerevuke. Na ombi langu kwa wananchi nadhani ingekuwa busara kuiambia serikali iwasikilize madaktari na kuwatimizia matakwa yao na siyo kuwaomba madaktari warudi kuhangaika mahospitalini kama hawana viongozi.
 
-Unakwenda JKT kabla haujawa "professional"
-Hayo mengine yanadhihirisha haukwenda JKT. Kama kuna mahala pnajenga confidence ya mtu kuliko JKT sijui.

Sio kweli unayosema. Ni wewe na wenzio ambao mlitoka form six mkaenda jeshini ukadhani kila mtu ni hivyohivyo. Au labda wewe hukwenda kabisa, umehadithiwa tu. Kuna wanaotoka vyuoni na wengine kazini na professions zao ambao walikuwa wanaenda JKT (jeshi la Kuhujumu Taifa). Kama una kumbukumbu nzuri, intake ya Januari ilikuwa kwa ajili ya waliotoka kazini na vyuoni ambapo mchanganyiko ulikuwepo kwa intake ya Juni. Kanusha!
Utakuwa mwenye bahati sana kama JKT ilikujengea confidence. Mahali ambapo unatakiwa kutumia asilimia 98 nguvu na akili asilimia 2 panajenga confidence gani hapo? Na ukweli unaonekana kwenye vitendo vyenyewe JKT. Afande akikupa push-up anakwambia kuwa yeye darasa la saba ni kubwa kuliko form six hivyo akisema down - wewe uende juu na akisema chini ndipo uende chini. Hivyo amri inakuwa: Down - chini! Kweli unapata confidence si ya kawaida.
Kikubwa JKT ni ubabaishaji, utegaji, ujingaujinga (ujanja-ujanja wa wajinga). Ukidadisi, ubabaishaji ulioko nchini mwetu na hasa serikalini umetokana na watu kupelekwa JKT na vilevile kuwa na watawala wengi (wakuu wa mikoa, wilaya) ambao ni wanajeshi. Heri yao ambao hawaendi kupoteza muda wao JKT na kuishia kulihujumu taifa. Chuo kikubwa kabisa cha ufisadi unaouona leo ni JKT. Udokozi na wizi (wa kutumia ujanja) unaousikia leo chanzo kikubwa ni hukohuko. Mahali ambapo bwana mifugo anaweza kutibu watu kama daktari, mwalimu kuwa mhandisi wa maji - hakuna ubabaishaji kama huo.
Uliona wapi watu wenye nguvu wakalima mwaka mzima maeneo makubwa kuliko viwanja vya ndege (mashamba mengine yakiitwa Embakasi), na mvua ikanyesha vizuri, wakavuna na bado wanaagiza/wananunua chakula ili kujikimu? Ndiko kujenga taifa huko au kuhujumu? Na hali hiyo wewe bado inakujengea confidence. Kweli una moyo!
Unapataje confidence kwa kuamshwa wakati wowote ule, kupewa adhabu kama mzaha, kwa kutii (kwa lazima) kila kitu. In zaidi ya ufungwa maana hakuna kanuni za siku hadi siku. Ukinionyesha JKT inayojenga cofidence nami nitakuonyesha utumwa unamfanya mtu awe mfalme.
 
Sio kweli unayosema. Ni wewe na wenzio ambao mlitoka form six mkaenda jeshini ukadhani kila mtu ni hivyohivyo. Au labda wewe hukwenda kabisa, umehadithiwa tu. Kuna wanaotoka vyuoni na wengine kazini na professions zao ambao walikuwa wanaenda JKT (jeshi la Kuhujumu Taifa). Kama una kumbukumbu nzuri, intake ya Januari ilikuwa kwa ajili ya waliotoka kazini na vyuoni ambapo mchanganyiko ulikuwepo kwa intake ya Juni. Kanusha!
Utakuwa mwenye bahati sana kama JKT ilikujengea confidence. Mahali ambapo unatakiwa kutumia asilimia 98 nguvu na akili asilimia 2 panajenga confidence gani hapo? Na ukweli unaonekana kwenye vitendo vyenyewe JKT
. .
Mi siongezi
 
Badala ya kwenda kuongea na Serikali alikoitwa, anakuja kutafuta huruma za wananchi. Ujinga mtupu.

Mjinga wewe mwenyewe! Wagonjwa wenyewe wanawapa sapoti madaktari wewe unatuletea upuuzi wako hapa!
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Madaktari Tanzania

Sio mwenyekiti wa madaktari Tz bali ni mwenyekiti wa kamati maalum ya mgomo.

Kumbuka Ulimboka mwaka 2003 aliongoza mgomo wa madaktari huko Tanzania akiwa yeye na Hamis Kingwangala na wote walifukuzwa kabla kusamehewa na kumaliza shule zao. Na wote hawajafanya intern.


Wakti huo 2003, Dr Ulimboka alikuwa Rais wa Tz Med student association (TAMSA) na Kigwangala alikuwa Rais wa Mihimbili med student association
 
Mbona tuliambiwa yuko mafichoni? eti usalama wa Taifa wanamtafuta!!!!!!!!!! Hivi kwenye TV hawawezi kumpata au ilikuwa ni kuwapaka matope majasusi hao wa TISS?
Usitumie hilo neno haliwafai.
Ni watu wanaoishi kutegemea per diem za safari za rais
 
JKT ni:
-mahali pa ku-brainwash professionals
-mahali pa kupeana ujinga kuwa wewe ni mtu muhimu hali unadharaulika na jamii inakyokuzunguka.
-ni mahali panapokufanya upoteze confidence ya kusimamia kile unachokiamini.
-ni mahali panapokufanya ujenge nidhamu ya woga kwa kiongozi yeyote anayekuongoza.
huwezi hata siku moja kujua utamu wa ngoma mpaka ucheze.

tulopitia tunaona na kujua umuhimu wake hususan kwa maisha ya sasa.

 
Hakuna kitu kinachonikera kama kumuona JK anashughulikia mambo yasiyo na tija wakati nchi iko katika hali ya hatari! Wajibu wa Rais wa nchi ni kuhakikisha kuwa raia wake wote wako salama na wanapata haki zao za misngi kama binadamu. Ni haki ya kila raia kupata taarifa muhimu za nchi yake ili aweze kushiriki kikamilifu katika masuala yaliyo ndani ya uwezo wake.

JK anajifanya kama hamnazo! Anajifanya kama hajui adha wanayoipata wananchi. JK hatoa kauli zo zote kuhusu changamoto zinazolikabili Taifa hivi sasa. JK anashughulikia mambo mepesi mepesi kama vile ni shwari!

JK hajui wajibu wake na hafai kuendelea kuliongoza Taifa kwa sasa!
 
Mbona tuliambiwa yuko mafichoni? eti usalama wa Taifa wanamtafuta!!!!!!!!!! Hivi kwenye TV hawawezi kumpata au ilikuwa ni kuwapaka matope majasusi hao wa TISS?
We ni kilaza endelea na kazi uliyopewa na ma bwana zako. Stupid Raia mwema
 
JKT ni:
-mahali pa ku-brainwash professionals
-mahali pa kupeana ujinga kuwa wewe ni mtu muhimu hali unadharaulika na jamii inakyokuzunguka.
-ni mahali panapokufanya upoteze confidence ya kusimamia kile unachokiamini.
-ni mahali panapokufanya ujenge nidhamu ya woga kwa kiongozi yeyote anayekuongoza.
ni mahali unapopewa kozi ya kuwa fisadi kiufasaha.
ni mahali unapopewa degree ya kula rushwa.
ni mahali unapewa elimu ya kugawa vyeo kishkaji.
ni mahali unapopatiwa mafunzo ya ujasiri wa kulindana
 
Kweli serikali yetu haiwajali watu wake,nadhani ni kwa sababu wao na familia zao wakiugua wanao uwezo wa kwenda APPOLO kutibiwa
 
Sio mwenyekiti wa madaktari Tz bali ni mwenyekiti wa kamati maalum ya mgomo.

Kumbuka Ulimboka mwaka 2003 aliongoza mgomo wa madaktari huko Tanzania akiwa yeye na Hamis Kingwangala na wote walifukuzwa kabla kusamehewa na kumaliza shule zao. Na wote hawajafanya intern.


Wakti huo 2003, Dr Ulimboka alikuwa Rais wa Tz Med student association (TAMSA) na Kigwangala alikuwa Rais wa Mihimbili med student association
yaani ww ni mbumbuu halafu hujijui...........ni vizuri ukauliza kwanza kabla ya kupost utumbo unaopotosha.
 
sio kweli unayosema. Ni wewe na wenzio ambao mlitoka form six mkaenda jeshini ukadhani kila mtu ni hivyohivyo. Au labda wewe hukwenda kabisa, umehadithiwa tu. Kuna wanaotoka vyuoni na wengine kazini na professions zao ambao walikuwa wanaenda jkt (jeshi la kuhujumu taifa). Kama una kumbukumbu nzuri, intake ya januari ilikuwa kwa ajili ya waliotoka kazini na vyuoni ambapo mchanganyiko ulikuwepo kwa intake ya juni. Kanusha!
Utakuwa mwenye bahati sana kama jkt ilikujengea confidence. Mahali ambapo unatakiwa kutumia asilimia 98 nguvu na akili asilimia 2 panajenga confidence gani hapo? Na ukweli unaonekana kwenye vitendo vyenyewe jkt. Afande akikupa push-up anakwambia kuwa yeye darasa la saba ni kubwa kuliko form six hivyo akisema down - wewe uende juu na akisema chini ndipo uende chini. Hivyo amri inakuwa: Down - chini! Kweli unapata confidence si ya kawaida.
Kikubwa jkt ni ubabaishaji, utegaji, ujingaujinga (ujanja-ujanja wa wajinga). Ukidadisi, ubabaishaji ulioko nchini mwetu na hasa serikalini umetokana na watu kupelekwa jkt na vilevile kuwa na watawala wengi (wakuu wa mikoa, wilaya) ambao ni wanajeshi. Heri yao ambao hawaendi kupoteza muda wao jkt na kuishia kulihujumu taifa. Chuo kikubwa kabisa cha ufisadi unaouona leo ni jkt. Udokozi na wizi (wa kutumia ujanja) unaousikia leo chanzo kikubwa ni hukohuko. Mahali ambapo bwana mifugo anaweza kutibu watu kama daktari, mwalimu kuwa mhandisi wa maji - hakuna ubabaishaji kama huo.
Uliona wapi watu wenye nguvu wakalima mwaka mzima maeneo makubwa kuliko viwanja vya ndege (mashamba mengine yakiitwa embakasi), na mvua ikanyesha vizuri, wakavuna na bado wanaagiza/wananunua chakula ili kujikimu? Ndiko kujenga taifa huko au kuhujumu? Na hali hiyo wewe bado inakujengea confidence. Kweli una moyo!
Unapataje confidence kwa kuamshwa wakati wowote ule, kupewa adhabu kama mzaha, kwa kutii (kwa lazima) kila kitu. In zaidi ya ufungwa maana hakuna kanuni za siku hadi siku. Ukinionyesha jkt inayojenga cofidence nami nitakuonyesha utumwa unamfanya mtu awe mfalme.

kweli maselula na waliojongo jkt hapa utawaona tu hivi usipopitia .......... Jkt

  • utajua kuwa ww ni mtanzania na mfia nchi?
  • utajua fuliwa chupi?
  • utapikiwa ugali
  • utajuwa hata kuimba au hotuba mbele ya wenzako
  • utajuaje jinsia zinavyoshirikiana hasa ktk ukuruta?
  • utaweza kulala nje porini au kufanya kz vijijini
  • ni wototo wangapi siku hizi wanatamani maisha ya utopia bila kz, mshahara tena wa serikali
  • ni wazima wangapi hawajui hata kushika randa? Jembe? Nyundo mpaka waajiriwe
basi shule, vyuo visingewekwa km mnaogopwa hata kuamshwa alfajiri hiki kizazi kitaishia kwenye uvivu
 
Sio kweli unayosema. Ni wewe na wenzio ambao mlitoka form six mkaenda jeshini ukadhani kila mtu ni hivyohivyo. Au labda wewe hukwenda kabisa, umehadithiwa tu. Kuna wanaotoka vyuoni na wengine kazini na professions zao ambao walikuwa wanaenda JKT (jeshi la Kuhujumu Taifa). Kama una kumbukumbu nzuri, intake ya Januari ilikuwa kwa ajili ya waliotoka kazini na vyuoni ambapo mchanganyiko ulikuwepo kwa intake ya Juni. Kanusha!
Utakuwa mwenye bahati sana kama JKT ilikujengea confidence. Mahali ambapo unatakiwa kutumia asilimia 98 nguvu na akili asilimia 2 panajenga confidence gani hapo? Na ukweli unaonekana kwenye vitendo vyenyewe JKT. Afande akikupa push-up anakwambia kuwa yeye darasa la saba ni kubwa kuliko form six hivyo akisema down - wewe uende juu na akisema chini ndipo uende chini. Hivyo amri inakuwa: Down - chini! Kweli unapata confidence si ya kawaida.
Kikubwa JKT ni ubabaishaji, utegaji, ujingaujinga (ujanja-ujanja wa wajinga). Ukidadisi, ubabaishaji ulioko nchini mwetu na hasa serikalini umetokana na watu kupelekwa JKT na vilevile kuwa na watawala wengi (wakuu wa mikoa, wilaya) ambao ni wanajeshi. Heri yao ambao hawaendi kupoteza muda wao JKT na kuishia kulihujumu taifa. Chuo kikubwa kabisa cha ufisadi unaouona leo ni JKT. Udokozi na wizi (wa kutumia ujanja) unaousikia leo chanzo kikubwa ni hukohuko. Mahali ambapo bwana mifugo anaweza kutibu watu kama daktari, mwalimu kuwa mhandisi wa maji - hakuna ubabaishaji kama huo.
Uliona wapi watu wenye nguvu wakalima mwaka mzima maeneo makubwa kuliko viwanja vya ndege (mashamba mengine yakiitwa Embakasi), na mvua ikanyesha vizuri, wakavuna na bado wanaagiza/wananunua chakula ili kujikimu? Ndiko kujenga taifa huko au kuhujumu? Na hali hiyo wewe bado inakujengea confidence. Kweli una moyo!
Unapataje confidence kwa kuamshwa wakati wowote ule, kupewa adhabu kama mzaha, kwa kutii (kwa lazima) kila kitu. In zaidi ya ufungwa maana hakuna kanuni za siku hadi siku. Ukinionyesha JKT inayojenga cofidence nami nitakuonyesha utumwa unamfanya mtu awe mfalme.

Wewe kweli umenena, muongezee na ile ya mbinti wa kike, walikuwa wanafanywa nini?
 
Jamani acheni mambo ya kuuzana mabungeni na mativiini.. kinamama wajawazito na watoto wanapukutika kama kuku.. mochwale zimejaa kila kona.. hivi kitu gani Inaendelea Humu nchini...???..
 
Jembe linaelezea jinsi mgogoro mzima ulivyoanza, kwamba mgogoro huu haukuanza kwa mgomo. Anaelezea jinsi viongozi walivyokuwa wanakataa kuonana na madaktari. Waziri aliombwa aje Donbosco kuonana na madaktari, akasema kama wanataka kuonana nae waende anatouglo. Anadhihirisha jinsi viongozi akiwemo waziri, walivyo engineer who mgomo. Kipi rahisi, madaktari woote waende anatouglo wakati wameshakusanyika DB kumfuata waziri au Waziri aende hapo DB?

Mkuu, nini kinachokushangaza kuhusu viongozi wa TZ. Hujui kwamba wao ni miungu watu.
Wao hawako pale walipo ili kutumikia wananchi, bali wao kutumikiwa na wanachi. They are not leaders but rather bosses. If they were leaders they could go to D/Bosco to talk with the doctors.

 
Back
Top Bottom