In a very stupid development, Jana nimemsikia Nape akikili uwepo wa makundi ya vijana under the organization of UVCCM. sikuamini nilichokisikia.
Hilo siyo kwa CCM tu mkuu, Hivi hujui ndani CDM kuna makundi ya vijana pia? kuna lile la ZITTO na MDEE na lile la NASSARI na LEMA?