masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,168
Broo, samahani lakini.
Mi naona arguments zako zina mapungufu sana ya uelewa!
Sijajua km unatangulia kusoma kabla ya kujibu!
Unaongeleaje silaha moja wakati hiyo ni sample tu?.....
Mkuu hamna suala la uelewa hapo, mambo lazima yawekwe wazi, Dr Slaa si anafahamu armory hiyo ya CCM iko wapi? avurumishe mizinga yake tu watu wapelekwe pale kushuhudia akipeleka waandishi wa Tanzania Daima, itakuwa bora zaidi maana wao mlengo wao ni wa kuamini zaidi uongo wowote tu wa Dr Slaa.
Wasisahau kuzipiga picha sisi matomaso tusioamini tupate kuamini.