figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam
Sijapenda Style ya CCM kuiga siasa za Afrika Magharibi za kuwatumia Wanajeshi kwenye Siasa. Wanataka kutuharibia nchi.
Nakubali Mwenyekiti wa CCM ni Amri Jeshi Mkuu, ila Kutumia Jeshi kuwaziba Wapinzani wake wa Kisiasa si sahihi.
Wawatumie Polisi kuzuia maandamano na Shughuli za Siasa. Lakini kuwatumia Wanajeshi ni kuwaonea.
Hii itafanya Jeshi lijue Tanzania mambo yanaenda ovyo ovyo.
Je, Jeshi likifanya kazi Ovyo ovyo Samia atasalimika?
Tuwaache Jeshi letu la Wananchi lilinde mipaka yetu.
Ni aibu kwa Serikali kuu kutumia Jeshi kuzima Siasa za chama Pinzani cha CCM.
UJINGA NI KUFIKIRI WANAJESHI WOTE NI CCM.
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA HAWAJAFUNDISHWA SIASA. NI KWELI NI WATII NA WATATII MTAKACHOWAAMBIA LAKINI UTII WAO MSIUCHUKULIE KAMA NI WAOGA AU HAWANA UWEZO WAKIFANYA CHOCHOTE.
Majukumu ya Msingi ya JWTZ
1. Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2. Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
3. Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
4. Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.
5. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.
6. Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
7. Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
Nawaomba Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi (Kamandi ya MMJ), Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Wanamaji, Jeshi la Kujenga Taifa, Kamandi ya Jeshi la Akiba. Msiingize watoto wetu kwenye huu Mchezo mchafu wa Uroho wa madaraka. Wanajeshi wamefundishwa Bunduki na Silaha za Kivita sio kuhangaika na Demokrasia ndani ya Nchi.
Asante
Nawaomba Wakubwa wa Komandi Mchukue mfanye kitu kwaajili ya wananchi sio wanasiasa. Sijawakataza kutomtii Amri Jeshi Mkuu ila wahusika wamshauri Huyu Mwenyekiti wa CCM
ONYO: WATANZANIA TUHESHIMU NA KUENDELEA KULIAMINI JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
Sijapenda Style ya CCM kuiga siasa za Afrika Magharibi za kuwatumia Wanajeshi kwenye Siasa. Wanataka kutuharibia nchi.
Nakubali Mwenyekiti wa CCM ni Amri Jeshi Mkuu, ila Kutumia Jeshi kuwaziba Wapinzani wake wa Kisiasa si sahihi.
Wawatumie Polisi kuzuia maandamano na Shughuli za Siasa. Lakini kuwatumia Wanajeshi ni kuwaonea.
Hii itafanya Jeshi lijue Tanzania mambo yanaenda ovyo ovyo.
Je, Jeshi likifanya kazi Ovyo ovyo Samia atasalimika?
Tuwaache Jeshi letu la Wananchi lilinde mipaka yetu.
Ni aibu kwa Serikali kuu kutumia Jeshi kuzima Siasa za chama Pinzani cha CCM.
UJINGA NI KUFIKIRI WANAJESHI WOTE NI CCM.
JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA HAWAJAFUNDISHWA SIASA. NI KWELI NI WATII NA WATATII MTAKACHOWAAMBIA LAKINI UTII WAO MSIUCHUKULIE KAMA NI WAOGA AU HAWANA UWEZO WAKIFANYA CHOCHOTE.
Majukumu ya Msingi ya JWTZ
1. Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2. Ulinzi wa Mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
3. Kufanya Mafunzo na Mazoezi ili kujiweka tayari Kivita wakati wote.
4. Kufundisha umma shughuli za Ulinzi wa Taifa.
5. Kushirikiana na Mamlaka za Kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoajiwakati wa maafa.
6. Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji kupitia Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
7. Kushiriki katika shughuli za Ulinzi wa Amani Kimataifa.
Nawaomba Kamandi ya Vikosi chini ya Makao Makuu ya Jeshi (Kamandi ya MMJ), Kamandi ya Nchi Kavu, Kamandi ya Anga, Kamandi ya Wanamaji, Jeshi la Kujenga Taifa, Kamandi ya Jeshi la Akiba. Msiingize watoto wetu kwenye huu Mchezo mchafu wa Uroho wa madaraka. Wanajeshi wamefundishwa Bunduki na Silaha za Kivita sio kuhangaika na Demokrasia ndani ya Nchi.
Asante
Nawaomba Wakubwa wa Komandi Mchukue mfanye kitu kwaajili ya wananchi sio wanasiasa. Sijawakataza kutomtii Amri Jeshi Mkuu ila wahusika wamshauri Huyu Mwenyekiti wa CCM
ONYO: WATANZANIA TUHESHIMU NA KUENDELEA KULIAMINI JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA