Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,900
- 944
NDUGU MARY CHATANDA - PUUZENI WAPINZANI WANAOICHAFUA CCM JUU SUALA LA BANDARI
Mwenyekit wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa Ndugu Mary Chatanda na Makamu Mwenyekiti wa UWT Ndugu Zainab Shomari wakiambatana na Kamati ya Utekelezaji wamewasili Wilayani Namtumbo na Tunduru Mkoa wa Ruvuma kwa ziara tarehe 25 Julai 2023.
Aidha, Ndugu Mary Chatanda katika Mkutano alimpigia simu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mohamed Mchengerwa na kumtaka kutatua kero ya uvamizi wa Tembo (Ndovu) katika makazi ya watu ili kuhakikisha ulinzi na usalama wa wananchi katika shughuli zao za uzalishaji
Vilevile, Ndugu Mary Chatanda amewataka wananchi na WanaCCM Wilaya ya Tunduru kuwapuuza wapinzani wanaoichafua CCM juu ya suala la Uwekezaji wa Bandari
UWT IMARA JESHI LA MAMA KAZI IENDELEE
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-07-25 at 22.14.17.jpeg164.2 KB · Views: 3
-
WhatsApp Image 2023-07-25 at 22.14.18.jpeg138.8 KB · Views: 3
-
WhatsApp Image 2023-07-25 at 22.16.20.jpeg153.1 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-07-25 at 22.16.25.jpeg125.6 KB · Views: 2
-
WhatsApp Image 2023-07-25 at 22.16.29.jpeg130.9 KB · Views: 2