Dr Slaa live on Channel10

<font color="black">beyond reasonable doubt????????????????????????????? kivipi hapo sijakuelewa? labda angepata % zaidi ya nusu ya wabunge wake na akashindwa nafikiri angalau tungetumia hiyo beyond reasonable doubt otherwise sijui unaitumiaje? </font><br />
<br />
unavyofanya research ya ki science ya ku prove kitu beyond reasonable doubt ni kuwa na uhakika na kwamba watu wengine wakikirudia watapata majibu yaleyale
<br />




Hapo sijakuelewa Vizuri Mkuu,Shida ni kwamba haujaelewa nilichokisema,Tafsiri ya kusema "Beyond reasonable doubt" au tatizo ni kwamba nimetumia phrase hiyo katika Context irrelevantly!!

I choose to believe that we are not switching ths debate into Semantics of words that we right!!

Nevertheless,Suffice to say kwamba Nilimsikia Dr.Slaa akisema kwamba yeye ndiye aliyeshinda Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 na alisema ana Ushahidi wa kuthibitisha kauli yake!!
Sina Shaka na UADILIFU,UWEZO na UZALENDO wake,I revere Dr.Slaa from the bottom of my heart!!!
 
<br />
<br />


Hv **** kama wewe unapata wapi Ujasiri wa kumuita Slaa mpuuzi,Wewe capacity ya Ubongo zidisha mara 100 ndiyo unapata robo tu ya Capacity ya Brain ya Slaa,Where on earth do u get the guts to insult a man as intelligent and as patriotic as Wilbroad? From the mouth of which river?

Slaa anayo haki ya kurudia hayo maneno mara nyingi kuliko hata kasuku kwa sababu anaweza kuyathibitisha!

Nilihudhuria Mkutano wake pale Mabibo karibu na Benjamini Mkapa Export Processing Zones Authority,nilimsikia bila kumung'unya maneno kwamba yeye ndiye Aliyeshinda Urais mwaka 2010 na ana ushahidi yabisi ku-establish his claim,beyond reasonable doubt!!

Badala ya Kumbeza na Kumtusi imetupasa kumshukuru na Kumheshimu kwa sbb Ulimwenguni na hasa Afrika ni VIGUMU KUMPATA MTU AMBAYE ANGETUMIA HEKIMA YA SLAA KUEPUSHA MACHAFUKO!
Had he been Selfish,he could have plunged ths country into War,na Mori ya watu wengi wakati ule ilikuwa juu sana,angebonyeza tu button pangechimbika!!!
Anaweza kumpuuza kwa vyovyote, lakini mbona hafanyi comparison na yule dk dk dk ambaye anadeseshwa maswali ili kumlinda asiaibike, halafu wanasanction kwamba maswali fulani hayatakiwi kuulizwa! Je anakumbuka kile kipindi cha Straight Talk Africa way back 2007 mtu mzima alivyotia huruma! Jiahadhari kudharau intellectuals!
 
huyu muongoza kipindi makwaia ni mpuruzi sana!
hataki kupewa detailed maelezo, anataka kshushua watu tu!

Hua anaboa sana, akajifunze skills za interview. Hivi hua hatazami cnn ama bbc wenzake wanavohoji washiriki? Yaani hata kama mada ni nzuri yeye hukutoa hamu ya kutizama kipindi
 
Haya nayo vipi wenzangu nimeyanasa sehemu

WAKATI Tanzania leo ikiadhimisha miaka 47 ya Muungano, baadhi ya wanasiasa nchini wameonyesha wasiwasi kuhusu hatima yake na kutaka mjadala wa Katiba unaoendelea nchini, utumike kuunusuru.Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti jana wanasiasa hao walisema, kuna kila dalili za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kuvunjika muda mfupi ujao kama hakutakuwa na mkakati maalumu wa kuunusuru.

Mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombare Mwiru amewataka Watanzania kuuenzi Muungano kwa kuendeleza umoja na amani katika jamii: "Tanzania ni moja na sisi (Watanzania) ni wamoja, hakuna haja ya kulumbana kiasi cha kugawanyika katika kipindi hiki ambacho mataifa mengi yanataka kuungana.

"Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia alisema mjadala wa Katiba unaoendelea sasa nchini, unapaswa pia utumike kujadili muundo mpya wa muungano ambao utaondoa malalamiko.“Watu wapewe uhuru wa kujadili muundo wa Muungano wao ili kuondokana na kasoro ambazo zimekuwa zikilalamikiwa, hiyo itasaidia kuwa na Muungano imara zaidi,” alisema Mbatia.

Kwa mujibu wa Mbatia, Muungano ni kitu adhimu na si vyema kuzungumzia kuuvunja katika kipindi hiki ambacho nchi nyingi duniani, zinataka kuungana ili kuwa na nguvu ya pamoja.“Kwa kweli nitamshangaa mtu anayezungumzia kuvunja muungano katika kipindi hiki ambacho mataifa mengi duniani, yanafikiria kuungana.

Jambo la msingi hapa ni kuumarisha kwa kuondoa kasoro zilizopo,” alisema.Mbatia alisema hilo litawezekana ikiwa watu watapewa uhuru wa kujadili masuala mbalimbali yanayouhatarisha.Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema alisema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni silaha kubwa katika mapambano dhidi ya umaskini.

Hata hivyo, alisema kumekuwa na viashiria vinavyohatarisha uwapo wake na kusema busara inatakiwa kutumika ili kuunusuru.Mrema alisema moja ya viashiria vya kuvunjika kwa Muungano ni kauli za hivi karibuni kuhusu Muswada wa Katiba kwamba Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk Ali Mohammed Shein hakushirikishwa kuuandaa.

“Wanasahau kwamba Rais Kikwete ndiye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyechaguliwa na Watanzania wote, wakiwamo Wazanzibari,” alisema Mrema na kuongeza:“Kwa hiyo hizi ni kasoro zinazoashiria kuvunjika kwa muungano kama hazitadhibitiwa. Tunahitaji mazungumzo ili kujadili kero zinazolalamikiwa.” Mwasisi wa Chadema, Edwin Mtei alisema Muungano wa kulazimishana hauwezi kuwaletea matunda Watanzania.

“Wazanzibari wanaona kama vile tunawalazimisha katika Muungano. Wanaona kwamba watu wa bara ndiyo wanaofaidika zaidi nao.

Katika majadiliano ya Katiba mpya, Muungano ujadiliwe kwa uwazi ili kama Wazanzibari hawautaki tuuvunje, tusilazimishane, vinginevyo kila siku tutakuwa katika matatizo.”Katibu wa Idara ya Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye aliwataka wananchi kuzungumzia pia mambo mazuri yaliyopo kwenye Muungano badala ya kujadili yaliyo mabaya pekee.

Alisema kwa kuzungumza mambo mabaya pekee, kunawafanya vijana na watoto kukua wakiwa na dhana kuwa, Muungano hauna jambo lolote jema.“Tujivunie mengi mema yaliyo kwenye Muungano kuliko kutumia muda mwingi kila tunapokutana kuzungumzia mabaya tu.

Mazuri ya Muungano pia, yazungumzwe,” alisema Nape.Alisema Watanzania wanatakiwa kuadhimisha miaka 47 ya Muungano kwa furaha na kujiamini kwa kuwa mbali na kuwa ni Muungano wa muda mrefu, umewaunganisha Watanzania na kudumisha upendo miongoni mwao
 
&lt;br /&gt;<br />
<br />
<br />
<br />
<br />

Hapo sijakuelewa Vizuri Mkuu,Shida ni kwamba haujaelewa nilichokisema,Tafsiri ya kusema &quot;Beyond reasonable doubt&quot; au tatizo ni kwamba nimetumia phrase hiyo katika Context irrelevantly!!<br />
<br />
I choose to believe that we are not switching ths debate into Semantics of words that we right!!<br />
<br />
Nevertheless,Suffice to say kwamba Nilimsikia Dr.Slaa akisema kwamba yeye ndiye aliyeshinda Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 na alisema ana Ushahidi wa kuthibitisha kauli yake!!<br />
Sina Shaka na UADILIFU,UWEZO na UZALENDO wake,I revere Dr.Slaa from the bottom of my heart!!!
<br />
<br />

Ata Kiiza Besigye Uganda anaamini alishinda Urais na yeye sio kupupuna ila anameza kabisa.Siasa za sasa kila mshindwa anadai ni mshindi,tazama Nigeria.
 
<font color="black">beyond reasonable doubt????????????????????????????? kivipi hapo sijakuelewa? labda angepata % zaidi ya nusu ya wabunge wake na akashindwa nafikiri angalau tungetumia hiyo beyond reasonable doubt otherwise sijui unaitumiaje? </font><br />
<br />
unavyofanya research ya ki science ya ku prove kitu beyond reasonable doubt ni kuwa na uhakika na kwamba watu wengine wakikirudia watapata majibu yaleyale
<br />




Hapo sijakuelewa Vizuri Mkuu,Shida ni kwamba haujaelewa nilichokisema,Tafsiri ya kusema "Beyond reasonable doubt" au tatizo ni kwamba nimetumia phrase hiyo katika Context irrelevantly!!

I choose to believe that we are not switching ths debate into Semantics of words that we right!!

Nevertheless,Suffice to say kwamba Nilimsikia Dr.Slaa akisema kwamba yeye ndiye aliyeshinda Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 na alisema ana Ushahidi wa kuthibitisha kauli yake!!
Sina Shaka na UADILIFU,UWEZO na UZALENDO wake,I revere Dr.Slaa from the bottom of my heart!!!
 
Hili nalo wenzangu mwalionaje...


Pengo avunja ukimya kuhusu uhusiano wa Katoliki na Serikali ya JK
Send to a friend ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amezungumzia uhusiano wa kanisa hilo na Serikali, akikanusha tuhuma kwamba maaskofu wake wanatumiwa na mafisadi kumchafua Rais Jakaya Kikwete na familia yake.Kardinali Pengo alisema kuwa hakuna askofu yeyote wa kanisa hilo anayetumiwa na watuhumiwa wa ufisadi kumchafua Rais Kikwete na Serikali yake kama baadhi ya watu wanavyodai.

Kardinali Pengo alisema hayo jana katika Ibada ya Jumatatu ya Pasaka iliyofanyika katika Parokia Kristu Mfalme Tabata ikikutanisha pia kwaya zote za kanisa hilo jimboni humo.“Kanisa limeshtakiwa kuwa lipo kinyume na utawala uliopo madarakani hivi sasa na kuna uzushi kuwa eti maaskofu wake, wanawaandaa wapinzani kuchukua madaraka ya kuongoza taifa,” alisema Kardinali Pengo.

Kardinali Pengo alisema maneno hayo ni uzushi usiokuwa na msingi kwani kanisa hilo halina na halipaswi kuwa na upande wowote katika masuala ya utawala wa dunia.Alisema kauli hizo alizodai za uzushi, ni hatari kwa kuwa zinalifanya kanisa hilo lionekane kuwa chombo cha kuziendeleza mamlaka za kisiasa au linapingana na watawala.

Akitumia maandiko ya matakatifu ya Biblia, Kardinali Pengo alisema kinachotokea sasa ni kama kilichotokea wakati wa Kristu katika utawala wa Herode, Yesu Kristu alishutumiwa kwa kula na kunywa na watoza ushuru.“Hata Yesu alipokuwa karibu na watoza ushuru, alionekana kama kibaraka wa utawala wa Rumi wakati huo na kuna ambao walimwona anakufuru kwa kushirikiana na watu hao ambao ni chukizo,” alisema Pengo.

Alisema kama ilivyokuwa kwa Kristu ambaye aliwajibu waliomchukia kuwa hakuja kwa ajili ya wenye haki bali wenye dhambi, Kanisa Katoliki halitawatenga wala kuwazuia makanisani wanasiasa watakaofukuzwa kwenye vyama vyao kwa tuhuma za ufisadi.

“Hatutamtenga mtu au kumzuia asije kanisani kisa tu amefukuzwa katika chama chake cha siasa,” alisema Kardinali Pengo na kuongeza:
"Kufanya hivyo ni kuwanyima ya huduma za kiroho. Hata mimi siwezi kuacha kumwungamisha mtu ambaye amefukuzwa katika chama chake kwa sababu za ufisadi, kwani kwa kufanya hivyo ni kwenda kinyume na mafundisho ya Yesu Kristu ambaye alikuja duniani kwa ajili ya wenye dhambi.

"Pengo alisema binafsi anasikia machache lakini waumini hao watakuwa wanasikia mengi kwa kuwa ndiyo waliopo mitaani na huko ndipo wanapogombea madaraka ya kisiasa.Alisema huyasikia yanapopelekwa kwake na walioshindwa kuyamaliza huko mtaani na kwamba anaamini wanasikia mengi, lakini akasisitiza kwamba msimamo wa kanisa ni kuwa halitakuwa na upande katika utawala wa kidunia kama alivyokuwa Kristu.

“Litakuwa jambo baya sana na kwenda kinyume na mafundisho ya Kristu kama muumini wa namna hiyo atanifuata, halafu nikamweleza kuwa akanunue silaha,” alisema Pengo na kuongeza kuwa atamshauri kulingana na maandiko na si vinginevyo.Pengo aliwataka waumini wa kanisa hilo kutafakari na kuliombea taifa amani hasa katika kipindi hiki ambacho alikifananisha na nyakati za kuzaliwa kwa Yesu ambapo alituhumiwa, kusulubiwa, kifo chake hadi alipofufuka na kuendelea kulitangaza jina la Bwana.

Ingawa Askofu Pengo hakumtaja mtu wala taasisi inayotoa madai hayo dhidi ya Kanisa, Katibu Mwenezi wa CCM, Nape Nnauye amewahidi kukaririwa na vyombo vya habari akidai kuwa baadhi ya watu wakiwemo viongozi wa dini, wanatumiwa na mafisadi kwa ajili ya kumchafua Kikwete na Serikali yake kwa minajili ya kutaka kuingia madarakani.

Nape alitoa madai hayo Aprili 16, mwaka huu katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Viwanja vya Bakhresa Manzese, Dar es Salaam.Alisema mafisadi wametangaza vita ya kumchafua mwenyekiti wa chama hicho na familia yake kupitia vyombo vya habari hata baadhi ya viongozi wa dini na makanisa.Nnauye alisema wamegundua mpango huo na kwamba wanatangaza kuamua kupambana nao hadi wang'oke ndani ya CCM.
 
<br />




Hapo sijakuelewa Vizuri Mkuu,Shida ni kwamba haujaelewa nilichokisema,Tafsiri ya kusema "Beyond reasonable doubt" au tatizo ni kwamba nimetumia phrase hiyo katika Context irrelevantly!!

I choose to believe that we are not switching ths debate into Semantics of words that we right!!

Nevertheless,Suffice to say kwamba Nilimsikia Dr.Slaa akisema kwamba yeye ndiye aliyeshinda Urais katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 na alisema ana Ushahidi wa kuthibitisha kauli yake!!
Sina Shaka na UADILIFU,UWEZO na UZALENDO wake,I revere Dr.Slaa from the bottom of my heart!!!

nia ilikuwa kwamba ushindi unaozungumzwa ni wa mdomoni na ushahidi haujawahi kutolewa popote kwa upande mwingine kulikuwa na wabunge 22 waliochaguliwa kupitia chama chake kati ya waliopo (wangesaidia kutupa picha maana ushahidi hatujauona). pamoja na uadilifu, uwezo na uzalendo wake ulivyosema "Beyond reasonable doubt" nilihisi unakuza mno jambo hilo.
 
"ukiwa shabiki sana unaweza ukawa mbumbu na kutoa hoja za kipumbavu kumtetea Yule unayemshabikia"
 
nia ilikuwa kwamba ushindi unaozungumzwa ni wa mdomoni na ushahidi haujawahi kutolewa popote kwa upande mwingine kulikuwa na wabunge 22 waliochaguliwa kupitia chama chake kati ya waliopo (wangesaidia kutupa picha maana ushahidi hatujauona). pamoja na uadilifu, uwezo na uzalendo wake ulivyosema &quot;Beyond reasonable doubt&quot; nilihisi unakuza mno jambo hilo.
<br />
<br />



Mkuu,Nimekusoma nadhani hatukuwa tumeelewana,sasa nimekuelewa Vyema!!
Ni kweli kwamba Slaa hajaweka Ushahidi,lakini ni dhahiri kwamba Slaa si mtu ambaye anaweza kutoa madai mazito kama hayo huku akijua kwamba hana huo Ushahidi au afanye hivyo huku akiwa na shaka na Uhalali wa Ushahidi wenyewe au vyanzo vilivyompa ushahidi huo!! i give Dr.Slaa the benefit of the doubt kwa sababu mara nyingi na hasa alipokwa Bungeni amejipambanua waziwazi kuwa ni mtu makini na Mfuatiliaje na Mwenye "kuhesabu" Maneno yake!!

Katiba yetu ina mapungufu lukuki na mojawapo ni hili la kuzuia mtu kufungua kesi kupinga Matokeo ya Uchaguzi wa Urais,huu ni Upungufu mkubwa na ndiyo maana ameshindwa kuutoa hadharani,hakuna chombo cha kupokea malalamiko yake zaidi ya sisi Wananchi!!

I stand to be corrected!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Ata Kiiza Besigye Uganda anaamini alishinda Urais na yeye sio kupupuna ila anameza kabisa.Siasa za sasa kila mshindwa anadai ni mshindi,tazama Nigeria.
<br />



Mkuu,Binafsi sioni tatizo kusema kadhurumiwa Ushindi ilimradi anaweza kuthibitisha madai yake!!
Ndiyo tunda mojawapo la Demokrasia!!
 
Dr slaa anasema Rwada nyumba zote ni bati! Naona ana amanisha mjini kigali hajaenda vijijini!
Inaonyesha hujafika Rwanda unasema kwa ushabiki usio na maana mimi physically nimetoka Rwanda juzi kwa barabara kupitia Rusumo sehemu zote nilizopita ni vigumu sana kuona nyumba ya nyasi, si nyumba tu hata ubora wa barabara ni tofauti kabisa ukiacha ile ya ushirikiano ya kutoka Rusumo hadi Isike.
 
Ha ha ha ,Alishinda Uchaguzi gani huyu?Labda wa JF. Kweli anajiharibia heshima yake.
 
Ha ha ha ,Alishinda Uchaguzi gani huyu?Labda wa JF. Kweli anajiharibia heshima yake.
Conservatives wanawapa wasio na kazi uk posho?.....mabbe he should've clarified that bogus statement!
 
Conservatives wanawapa wasio na kazi uk posho?.....mabbe he should've clarified that bogus statement!
If u havent understood that, then u r bound to grasp no nothing in whatever the simplest clarification that may be pumped in ya head!...right?
 
Dr anasema cdm haitaki ushirikiano wa kinafiki!...na akina seif sharif, wambaye kwasasa anasindikizwa na usalama wa taifa..je unategemea nini toka a mtu wa aina hiyo?

we hujaelewa nn hapo? neno unafki ama ushirikiano? fumbua macho we paka
 
Conservatives wanawapa wasio na kazi uk posho?.....mabbe he should've clarified that bogus statement!
Wewe ndiye unaonekana bogus, kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kutunza heshima, hujui UK gov. inavyooperate kwa unemployments, ukiwa huna kazi kuna kitu kinaitwa Unemployment benefits unakwenda kujiandikisha unalipwa hadi utakapopata kazi inajumuisha hela ya kujikimu na chumba unalipiwa.
 
Back
Top Bottom