Kutenguliwa ubalozi Dr W Slaa: Mnaliona tatizo ninaloliona?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,328
24,211
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi.
Tunaikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako.
Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kavaa jezi yenye nembo ya Balozi.
Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lakini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwa upande mmoja serikali ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chato.

Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwandosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, anaitwa Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwa uenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu viwili, MUST- Mbeya na Mwalimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali.
Kuna sku aliyetukana kijinga atakuhitaji tu, na lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
 
Utenguzi ni jambo la kawaida sana hata huyu pia alifanya hivyo

1693618058350.png
 
Samia ameamua kuwakumbatia wasaliti wanaopigia chapuo ule mkataba wa hovyo wa bandari, na kuwatosa wazalendo wanaoulaani ule mkataba wa hovyo wa bandari kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Hiyo "hadhi ya ubalozi" Dr. Slaa asingeenda nayo kaburini, wala asingeingia nayo peponi kama angefika huko, wala hakuwahi kuwa na mabawa baada ya kupewa hiyo hadhi, kusema ndio akaanza kuruka angani...

Ni hadhi ya kujidanganya tu hapa ulimwenguni, kama ulivyo Urais wenyewe anaoutumia kuwapa wajinga wenzake vyeo, na kuwavua werevu vyeo, watanganyika tunamshangaa tu kiongozi aliyepoteza muelekeo na asiyeona aibu kuzidi kupotea.

Hiki alichokifanya Samia, ndio kinazidi kuthibitisha alivyo na roho mbaya kwa watanganyika, mwanamke dikteta, asiyetaka kuwasikiliza wale anaowaongoza, anayejifanyia mambo yake kwa manufaa ya wajomba zake wakiarabu.
 
Hii inaonyesha Samia hana ngozi ngumu, ana visasi na anadhani mtu akiwahi kuteuliwa na rais basi hiyo ni favor na kwamba mtu huyo hatakiwi kukosoa, kuonya na hata kupinga mambo ya hovyo.

Dr Slaa kanyang'anywa ubalozi kwa sababu kapinga kwa nguvu zote nchi yetu kuuzwa kwa mwarabu, na kwa kuwa kawa kiongozi kwa vitendo kukataa udalali wa nchi yetu.

Tutamrudishia hadhi yake Samia akiondoka madarakani.

Ni ajabu mzalendo anavuliwa hadhi, wauza nchi wameigeuza Ikulu pango la walanguzi na wapo wanapeta.
 
Sasa hivi ni zamu ya wachumia tumbo,
Kitila Mkumbo " haya makubaliano ni mazuri Sana Ila wengi wa wanaokosoa hawajui kusoma katikati ya mistari" good 👍 Kamata uwaziri.
Jerry Slaa " Huu sio mkataba ni Makubaliano" good 👍 Kamata uwaziri.
Willbrod Slaa "Huu mkataba haufai unauza uhuru na raslimali zetu haufai" 🚫 hafai mpeni uhaini! Dunia ikaguna, mh isiwe tabu nyang'anya heshima ya ubalozi., Yeah 👍🤣 Wana wa nchi "usihofu Slaa ubalozi wako upo mioyoni mwetu na sio kwenye makaratasi hakuna atakayekunyang'anya, 💕
 
Dr Wilbroad Slaa ni mpinzani wa siku nyingi, toka kuanzishwa siasa za vyama vingi. Dr Slaa ni kama yule mchezaji katika timu, si wa kutegemewa sana, lakini anaweza kutokea nyuma na kufunga goli la ufundi. Tunsikumbuka List of Shame.

Alopoteuliwa kuwa Balozi wengi tulishangaa sana, lakini ndo hivyo, tumikia kafiri upate mradi wako. Awamu hii ya Sita akiwa Balozi Dr Slaa kaingia na pasi aliyoipata ya mpira wa DP World Akiwa kava jezi yenye nembo ya Balozi, Dr Slaa vyenga kapiga, na alikuwa anaelekeo eneo la hatari box la timu ya serikali.

Sasa serikali ikachanganyikiwa, ikishangaa mbona Dr Slaa anakuja kavaa jezi yetu? Wakamvua jezi, lskini mchezaji ni yule yule, Dr Slaa.

Kwaupande mmoja seriksli ya Mama Samia imejiumbua kwa kiasi, haipendi kuumbuliwa, iko vindictive!
Kilichomtokea Job Ndugai tunakikumbuka, serikali iko vindictive.
Tunakumbuka utawala wa mzee wa Chsto
Kuna mtu anaitwa Prof Mark Mwndosya.
Alionyesha hadharani kutoridhishwa kubambikwa kesi mtu, tena mpizani, Sugu.
Yaliyotokea ni kama kagusa wire wenye umeme live.
Akafukuzwavuenyekiti wa Bodi za vyuo vikuu vya MUST- Mbeya na Mwslimu Nyerere Kigamboni.
Vindictiveness.

Hii tuliyoiona si dalili njema saana.
Kina Mbowe walisamehewa uhaini na kualikwa siku hiyo hiyo Ikulu.
Tundu Lissu pia.
Sipendi wapinzani wanavyotukana, but you guys have better watch out.

Kwa mama, this is a sobering moment, aendelee kuwavumilia wapinzani, na tusirudi zile siasa za kubambikana kesi.

Mama Samia, stay the moral high ground.

Mwanasiasa akikubeza, chukua yale ya maana kama ushauri, mengine yadharau na yatupilie mbali. Kuna sku sliyetukana kijinga, lazima ataomba radhi tu.
Vindictive politics no!

Alamsiki.
Nimesoma ila sijaelewa kabisa mantiki yako.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Unafiki sio kitu kizuri.
Mzee slaa aliwasaliti CHADEMA mbele ya JPM kwajili ya tumbo lake, leo hii tena wapo pamoja kwenye jukwaa la kisiasa.
Mbowe na Lema wanapaswa kujitafakari sana, sio kwamba wanachadema wamesahau ila ...
 
The fact kuwa slaa aliamua kuuza utu wake kwa hao ma ccm mwaka 2015 na akapata tangible rewards pamoja na huo ubalozi, wala simhurumii kwa haya ya kudhalilisha yanayomtokea .
Tungekuwa mbali sana kama Dr slaa asingesaliti upinzani mwaka 2015.
Slaa alikuwa hana Option wewe Imagine, Mbowe, Lema na kina Mnyika walishika madodoki na kuanza kumsafisha Lowasa ambae wamekuwa wakihubiri for years kuwa ni Fisadi papa leo chama kina Mfanya kuwa Flag bearer kweli?
Uzuri uwezo wa mtu huwa haujifichi na wote tunafahamu Kuwa DR Slaa uwezo wake ni Mkubwa sisi wazalendo tume reserve uzalendo wake alio onesha wakati huu na Inshu ya Ubalozi , Urais wa Samia ukikoma hata Kesho ataerudishiwa tu wala sio Inshu
 
Samia ameamua kuwakumbatia wasaliti wanaopigia chapuo ule mkataba wa hovyo wa bandari, na kuwatosa wazalendo wanaoulaani ule mkataba wa hovyo wa bandari kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Hiyo "hadhi ya ubalozi" Dr. Slaa asingeenda nayo kaburini, wala asingeingia nayo peponi kama angefika huko, wala hakuwahi kuwa na mabawa baada ya kupewa hiyo hadhi, kusema ndio akaanza kuruka angani...

Ni hadhi ya kujidanganya tu hapa ulimwenguni, kama ulivyo Urais wenyewe anaoutumia kuwapa wajinga wenzake vyeo, na kuwavua werevu vyeo, watanganyika tunamshangaa tu kiongozi aliyepoteza muelekeo na asiyeona aibu kuzidi kupotea.

Hiki alichokifanya Samia, ndio kinazidi kuthibitisha alivyo na roho mbaya kwa watanganyika, mwanamke dikteta, asiyetaka kuwasikiliza wale anaowaongoza, anayejifanyia mambo yake kwa manufaa ya wajomba zake wakiarabu.

Denoo uko wapi?
Twende tukapige vyombo weekend hii.
Hii nchi ukiifuatilia sana inaweza kupa kizunguzungu.
 
Back
Top Bottom