Mind yr speculations my friend!
Saa ngapi atataja majina?
Nimependa sana majibu ya Dr slaa hasa kelele za umoja na amani bila haki.HAKI lazima ianze then mengine yatakuwa sawa tu.wana cdm msipasue kichwa na mamluki wapya kibao humu nowdays.CCM kifo ni lazima na hata mwenyekiti wenu ameshaona na vyombo vyake vya kumpasha habari vimeshampa ukweli.anajaribu kuokoa jahazi lakini linaelekea kumshinda na hata yeye ameanza kukata tamaa.plan B yake ni maridhiano na Dr slaa (sio kama zenji lakini!)Dr anasema cdm haitaki ushirikiano wa kinafiki!...na akina seif sharif, ambaye kwasasa anasindikizwa na usalama wa taifa..je unategemea nini toka kwa mtu wa aina hiyo?
Nawewe una angalia huku umelewa sasa kuulizwa sio ndio kusema! Acha pombe bwana Mnyika
wakachangiage haka kazee magwanda mengine kanatia aibu
achana na huyo mwanaizaya, hajui atendalo...namfananisha na kichanga kinachotambaa...ni wa kumwonea huruma!..Poor she!U natia aibu wewe na fikira zako duni,kama avator yako.