Dr.slaa live east africa tv leo saa moja jioni

Mtangazaji anamweleza kuwa miaka ya nyuma aliandika vitabu:

1. Utimilifu wa Msichana

2. Utimilifu wa Mvulana

Anaulizwa ni nini ilikuwa chachu yake?
 
Anajibu toka 1973 anashughulika na vijana kwa lengo la kuwasaidia vijana . . . .

Dr. Kapiga kipara kinang'aa sana . . . big up Dr.
 
Issue zinazozungumziwa si kugombea na kushindwa kwake, ni masuala ya kijamii. Ni vizuri kusikiliza anyway....... Kushiney
 
Anaelezea mwandish wa kitabu cha "Future Shock"

Kuwa kitabu kinaelezea mtu makini ambaye akili zake ziko focused. Watu wa namna hii wanaweza kutngenezwa.

Anatoa mfano katika madini unaweza kumfanyika kazi mtu kimwili na kumnyima ujira stahiliki, kitu ambacho si haki . . . .
 
Anajibu karibu miezi 2 amezunguka nchi nzima na bila kuugua na anashukuru Mungu na baada ya hapo alikuwa DOM kusaidia chama mambo ya Bungeni.

Sasa amerejea na ana AMANI na UTULIVU (Nimeipenda hii)
 
anazungumzia kuvunjika mkono, na utulivu wa kifamilia wa kifamilia umemsaidia sana kipindi cha kampeni
 
Anasema alipokuwa anatafuta wadhamini mwanzoni mwa kampeni alivunjika mkono na mke wake alimsaidia sana kwa kuwa asingeweza kufanya kitu. Anasema alimpa faraja na kumsaidia

Ana watoto wawili, moja Linusi yuko darasa la 14

Na mwingine yuko chuoni
 
Anajibu huwezi ukavitenganisha viwili. Vyote vinachukua sehemu kubwa.

Sehemu muhimu ya malezi ni kuanzia miaka 0 hadi 5. Binadamu anapozaliwa ankuwa mtupu hadi kuanzia wiki ya 3 au ya nne.

Kitendo cha mama kumyonyesha mtoto kinampa upendo na kinatafsiri na mtoto akifika 15-20 kuwa karibu na mzazi vinginevyo wanaweka distance na kuwa reserved.
 
Anatoa mfano ulaya wengi wanatumia chupa na kuleta athari.

Waafrika bado wanatilia mkazo watoto wanyonyeshwe.

Character ya mtoto alilelewa na mama anakuwa mcheshi, anacheka na anajihusisha na familia na mara nyingi haiachi familia na anajishughulisha na vitu mbalimbali
 
Back
Top Bottom