Anasema katika hilo analifahamu pia. Ktk vituo vya kulelea watoto au hospitali wanao utaalamu wa nini kinatakiwa lakini kama wakichukuliwa katika mikono wasiyojua malezi wanaweza kuathirika.
Ndio Dr Slaa ni daktari bingwa wa tiba za Mgonjwa Hatari kama vile UFISADI, UCHAKACHUAJI, URITHI WA MADARAKA kwa watoto na mengine mengi tu. Ndugu uliuliza swali mpigie simu sasa hivi kwa ugonjwa wako atakusaidi sana Mh Slaa tena bila malipo!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.