Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Ukichunguza vizuri utagundua hilo gwanda la Slaa limechanika kwenye upande wa chini wa kulia. Hii ni aibu kubwa sana kwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Tanzania. Tujitahidi kuwa smart si kwa maneno tu bali hata mavazi. Sasa huyo mzungu atamchukulia vipi Slaa?