Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,883
Dr. Slaa na Spika Makinda Hospitali ya CCBR, Slaa ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali hiyo.
Dr. Slaa anatakiwa kutofautisha akiwa katika harakati za kichama na shughuli za umma. Si kila anakokwenda ni magwanda tu, siku akiingia ikulu itakuwa ni ikulu nzima full sare za magwanda. Kwa vyo vyote viongozi wetu watofautishe nafasi za kuvaa sare za chama na nafasi ambazo za umoja wa kitaifa ambapo nguo za kwaida zinavaliwa ili mwingine asisikie vibaya kuchangamana kwa kufikiria kiitikadi.