Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,536
- 8,624
Hamid
- Ramadhani ingekuwa kijiRev enh?
TATIZO la majaji wengi huwa hawana network kwenye siasa...nafikiri inatokana na tabia ya majaji wengi kuwa conservative na kujiweka mbali na watu[nafikiri inatokana na kazi zao]......ukiondoa Jaji edward mwesiumo...ambaye hata hivyo hakufanikiwa sana siasa.sikumbuki jaji mwingine aliyeingia kwenye siasa...warioba is a different case....