kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
...labda hujijui kwamba hutaurithi ufalme huokwa kweli kwa hili la serikali kumkumbatia mganga mmoja tu (na karibu baraza zima la mawaziri lilmeishakunywa kikombe), limenisikitisha sana
si kila mtu aniitaye "Bwana", "Bwana" ataurithi ufalme wa Mungu
bali yeye atendaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni
kwa staili hii ya wivu n