StaffordKibona
JF-Expert Member
- Apr 21, 2008
- 669
- 57
Mbombonafu hii kama ni kweli TZ tumekwisha hasa kama huyu MKYB alifanya hivyo
Mwakyembe knows what is doing.....! safi sana
Akili nyingi uondoa maarifa. Mwakyembe has goofed big time on this. Yeye kama kiongozi hasingeweka hadharani kwamba ameitwa na chombo halali cha dola kuhojiwa na amekataa. Mwakeyembe anajua hayuko juu ya sheria. Kwa nini ahofie kuojiwa in the first place. Hata kama anaona ni upuuzi angekwenda and he should have told PCCB point blank that all this is bull crap! Lakini kugoma kuhojiwa na kuweka hadharani sio jambo la kujivunia hata kidogo. Anaonyesha mfano gani? Nadhani jeri yake imepanda sana kichwani mwake and this could be his Achilles' heel. Poor Mwakyembe!
jambo moja umesahau ni haki yako kukataa kuhojiwa na chombo ambacho huna Imani nacho, inawezekanaje TAKUKURU ambayo kamati ya Mwakyembe imewanyoshea kidole kuja kumuhoji na kumtendea haki Harrison Mwakyembe(mb),Akili nyingi uondoa maarifa. Mwakyembe has goofed big time on this. Yeye kama kiongozi hasingeweka hadharani kwamba ameitwa na chombo halali cha dola kuhojiwa na amekataa. Mwakeyembe anajua hayuko juu ya sheria. Kwa nini ahofie kuojiwa in the first place. Hata kama anaona ni upuuzi angekwenda and he should have told PCCB point blank that all this is bull crap! Lakini kugoma kuhojiwa na kuweka hadharani sio jambo la kujivunia hata kidogo. Anaonyesha mfano gani? Nadhani jeri yake imepanda sana kichwani mwake and this could be his Achilles' heel. Poor Mwakyembe!
This is very low! TAKUKURU si ndio hao hao walisema RichMonduli haina tatizo mchakato wake hauna shida? Mwakyembe na tume yake wakaangalia tofauti leo hao hao wamwite Mwakyembe kumhoji....teh teh teh huhitaji kuwa Sheikh Yahaya kujua nini kinaandaliwa.....Mwakyembe huna sababu khojiwa na hao vilaza wa PCB sijui TAKUKUNGURU
Two wrong can not make a right. Never. If PCCB was wrong on Richmond it does not mean that Mwakyembe should also do wrong to make it right! Ni kosa kukataa amri halali ya chombo cha dola kuhojiwa hata kama ni upuuzi. Hata kama Mwakyembe alipata ushujaa katika kufumua kashfa ya Richomnd haimfanyi kuwa juu ya sheria na baya zaidi kuliweka hadharani. Ni kwa nini aliweke hadharani ili iweje kama sio kutafuta cheap popularity? It think it is being low to be zealot supporter of Mwakyembe even when it is clear he has goofed. I think He is overstreched himself this time around.
Leo TAKUKURU Mwanza wanamfikisha mahakamani Fundi Bomba wa Dawasco ya Mwanza kwa rushwa ya laki moja. Upuuzi mtupu!
Leo TAKUKURU Mwanza wanamfikisha mahakamani Fundi Bomba wa Dawasco ya Mwanza kwa rushwa ya laki moja. Upuuzi mtupu!
WEWE BWANA KIFIMBOCHEZA- Suala hapa siyo kuwa Mwalimu wa Sheria suala hapa ni MANTIKI. Kinachojiwa na TAKUKURU siyo malipo yao ya posho za Vikao bali ni malipo yao ya posho za kujikimu. Mtu hawezi kulipwa posho ya kujikimu zaidi ya mara moja kwa siku zile zile na kwa kazi hiyo hiyo au nyingine.
Nasema Mwakyembe atakwenda kupambana na VIJANA wa TAKUKURU ambao nao wamesoma sheria na wanazifahamu Sheria.
Suala hapa siyo MTU KUWA MPAYUKAJI ili watu wakujue kwamba unajua VITU.
Unamkumbuka Dr. Masumbuko Lamwai- unakumbuka alivyokuwa anatesa na Sheria zake za Kidokta yuko wapi.
Ndugu kaa chini tafakali na kama hujuwi vitu kasome Sheria na Kanuni zinazozungumzia masuala ya malipo ya posho ndipo uweze kuzungumza wewe!!! KAA CHONJO.
Hawa jamaa waniachaga hoi sana!
MMMH ni mawazo yako, sahihi kwa upeo wako, fikra dhalili, na mwakyembe amekiri kupokea Posho mara mbili, jamani siwampeleke basi mahakamani. kasema haoni haja ya kuhojiwa, ni haki yake kwanza, TAKUKURU ni chombo halali kabisa chini ya sheria, sasa ameisha amua kugoma kutoa taarifa. na wakutane mahakamani ambako haki hutafsiriwa kwa kina na mapana yake.Masanilo aka Ze Comedy,
Wewe beba tu mabox ya Wazungu huko Majuu; unashangaa hilo mbona hushangai mtu kuchukua posho mbili na bado akajiona hajakosea?
Wewe lipwa mara mbili kwenye hizo boksi zako tuone kama hutatupwa mpaka huko kwenu Mwanza.
Kwa hiyo wewe unaridhia TAKUKURU kuwaoji wabunge? Walikuwa wapi siku zote wasiwaoji?, eti sasa kwa sababu wameona wabunge wamesimama kidete kwa ajili ya Richmond n.k., serikali inawaburuza (TAKUKURU) kwaziba midomo wabunge.