Jumboplate
Senior Member
- Jul 29, 2008
- 133
- 10
Hivi mnaposema TAKUKURU wanaacha kufuatilia rushwa kubwa wanawafuatilia wabunge na posho wanazopewa mnamaanisha nini?? Hizi hizi kamati za bunge ndizo zinazokagua mashirika ya umma, taasisi, halmashauri, n.k sasa kama wajumbe wa kamati hizo wanahongwa tutegemee nini??
Mwakyembe namuheshimu kwa jinsi alivyofanya kazi kama mwenyekiti wa kamati teule iliyochunguza mchakato wa kuipata richmond, lakini hilo halinizuii kumkosoa pale anapokosea!! Mbona Lowassa kafanya mambo mengi mazuri lakini alipohusishwa na richmond tulitaka ajiuzulu????
PCCB just do your job, mna mamlaka ya kumhoji mtu YOYOTE bila kutoa taarifa kwa YEYOTE!!!
Mwakyembe namuheshimu kwa jinsi alivyofanya kazi kama mwenyekiti wa kamati teule iliyochunguza mchakato wa kuipata richmond, lakini hilo halinizuii kumkosoa pale anapokosea!! Mbona Lowassa kafanya mambo mengi mazuri lakini alipohusishwa na richmond tulitaka ajiuzulu????
PCCB just do your job, mna mamlaka ya kumhoji mtu YOYOTE bila kutoa taarifa kwa YEYOTE!!!