Ulimbo
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 3,767
- 4,035
Mbunge wa kyela Dr. Harison Mwakyembe amekataa kuhojiwa na TAKUKURU kama baadhi ya wabuge wengine walivyohojiwa na taasisi hiyo kwa madai kuwa hizo ni mbinu za kutaka kuwaziba midomo wabunge. Katika maojiano yake na vyombo vya habari, Mwakyembe amesema, TAKUKURU anawapigia simu wabunge (Mmoja mmoja) na kuwaoji kwa takriban masaa hadi matatu kinyume na sheria kwani maojiano hayo hayawekwi kwenye maandishi.
Source Nipashe/ITV
Source Nipashe/ITV