TITAN
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 308
- 47
Kumekuwa na mkakati mkubwa na vikao vya siri sana vinavyofanywa na baadhi ya viongozi wa juu wa CCM bara na CCM Zanzibar vikiongozwa na watu wanaosemekana kutumwa na Kikwete kwa ajili ya kumuandaa Dk. Hussein Mwinyi kuwa mrithi wa kiti cha Urais 2015.
Hii inatokana na madai ya 'kutaka kuunusuru Muungano' pamoja na 'kukilinda chama'.
Nina ushaidi wa kutosha kutoka kwa mmoja ya walioshiriki vikao vitatu vilivyotangulia. Wamepanga kikao kingine kufanyika May 05, 2011 mkoani Tanga na kutakuwa na shuguli ya kiserikali ambayo itakuwa inafyika kwa geresha ili waweze kukutana.
Wanajamii, mnaonaje ilo tutaweza kumkabili huyu kijana?
Hii inatokana na madai ya 'kutaka kuunusuru Muungano' pamoja na 'kukilinda chama'.
Nina ushaidi wa kutosha kutoka kwa mmoja ya walioshiriki vikao vitatu vilivyotangulia. Wamepanga kikao kingine kufanyika May 05, 2011 mkoani Tanga na kutakuwa na shuguli ya kiserikali ambayo itakuwa inafyika kwa geresha ili waweze kukutana.
Wanajamii, mnaonaje ilo tutaweza kumkabili huyu kijana?